Ugonile,
Ni muda sasa napitia hali ambayo binafsi sifikiri kama iko sawa.
Napata tabu sana kula milo yote mitatu, ni either niskip mlo mmoja au miwili ndo nile mwingine sababu ya kukosa appetite ya kula.
Mfano saivi nina njaa ya kufa mtu ila kila nikifikiria kitu cha kula naishiwa pozi.
Shida inaweza kuwa nini wakuu, au ni ugonjwa?