Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 38,404
- 88,921
Huwa sipendi kuwa na attachments na mwanamke, ili hata akija next time niwe huru kumtafuna bila stress kwamba tuliachana.
VizuriWengine tunachosema ndicho tunamaanisha.
Na chochote atakachosema ndicho tutajua anamaanisha.
Nikisema sikutaki jua sikutaki.
Akisema hanitaki basi nami ninayachukua maneno yake hivyohivyo.
Ngoja waje wazee wakuziridia mbususu
MWANAMKE UNAWEZA ENDA ISHI NAE KATIKATI YA MSITU WA AMAZON MKIWA PEKE YENU NA BADO AKAKUSALITI.
ATAKUSALITI EIDHA KWA WANYAMA KAMA MBWA AU MATUNDA KAMA NDIZI NA TANGO
Jamani 😃😃😃🤔MWANAMKE UNAWEZA ENDA ISHI NAE KATIKATI YA MSITU WA AMAZON MKIWA PEKE YENU NA BADO AKAKUSALITI.
ATAKUSALITI EIDHA KWA WANYAMA KAMA MBWA AU MATUNDA KAMA NDIZI NA TANGO
Sasa badala ya kuwachana live, unakuja kulalamika huku JFKwema Wakuu!
Kwa kweli sisi wengine tukiachana ndio tumeachana moja Kwa moja. Hakuna kitu ambacho kinaniudhi na kunifanya niwe mkali kama binti niachane naye halafu baada ya miaka miwili aniletee shobo na pigo za kipumbavu pumbavu. Tukishaachana tumeachana, mazoea ya kujifanya sijui marafiki sijui ushkaji sio kwa watu kama sisi.
Wapo wanawake ambao nimewaweka kwenye kundi la marafiki na dada wa hiyari, wewe kama nilikuweka kwenye kundi la mpenzi tukashindwana elewa kuwa ndio nafasi pekee niliyokupatia. Nawe ufanye vivyohivyo, wala sitajali kwa sababu ni maamuzi yako.
Kupasha kiporo kwa kweli ni mwiko. Wanasema kurudia matapishi. Sijajua ni allergy au ni nini, lakini hiyo iko hivyo.
Kuna wale umezaa naye mtoto halafu mkaachana. Ukipiga simu eleza ishu za mtoto hayo mengine sijui ya maisha yanaendaje hayakuhusu, mbona mimi sikuulizi.
Dakika mbili zinatosha kutoa taarifa ya mtoto. Kama ni pesa itatumwa. Mtoto amekua mkubwa, atajieleza mwenyewe nikiongea naye.
"Oooh, nimekumiss, ooh bado nakukumbuka!" Who cares, inahusu nini, inamaana gani kwa muda huu?
Tafuta mtu mwingine, au kaa mwenyewe, fresh! Umekuwa mke au mchumba wa mtu kwa nini kunisumbua sumbua na kujifanya unanijua sana, pumbavu!
Viporo wengine ni mwiko kuvipasha! Yaani watoto kibao wazuri wamejaa huko mitaani halafu nipashe kiporo. Huyo labda sio mimi.
Tukishaachana;
1. Futa namba zangu na usinitafute kabisa. Unanisalimu salimu nini, uliambiwa wanawake wengine hawawezi kazi hiyo?
2. Choma picha zangu na zile za kwenye simu futa zote ili usinikumbuke.
3. Ikiwezekana delete faili langu kwenye ubongo wako kama mimi nilivyofanya.
Oooh, sijui nitakukumbuka, mara sitapata mwanamke mwengine kama wewe, hivi aliyekwambia nitatafuta mwingine kama wewe ni nani?
Imebaki stori, kila mtu apite kivyake. Kufuatana fuatana wengine hatutaki. Tukiachana tunamaanisha tumeachana. Full stop.
Nawatakia Sabato njema
Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
Sasa badala ya kuwachana live, unakuja kulalamika huku JF
Wanaume hatuna hizo, maneno kidogo action kubwa
Mwanaume unasusiaje mbususu iliyokidhi vigezo vyako? 😳
Safi kabisa. Hiyo pia itakuepushia na magonjwa.
Mnaachana mkiwa wazima. Mwenzako kaenda huko kaukwaa, anakuletea. Bila kuchukua tahadhari, unalizagamua kwa kisingizio ni salama kama ilivyokuwa awali.
Unaukwaa, unasambaza kwa familia yako.
Iweni na msimamo. Kama mmeshindwa, pimeni kabla ya kupashana..
Viporo vikijipendekeza wengi hula, ila inamadhara Sanaa kuliko saana.Kwema Wakuu!
Kwa kweli sisi wengine tukiachana ndio tumeachana moja Kwa moja. Hakuna kitu ambacho kinaniudhi na kunifanya niwe mkali kama binti niachane naye halafu baada ya miaka miwili aniletee shobo na pigo za kipumbavu pumbavu. Tukishaachana tumeachana, mazoea ya kujifanya sijui marafiki sijui ushkaji sio kwa watu kama sisi.
Wapo wanawake ambao nimewaweka kwenye kundi la marafiki na dada wa hiyari, wewe kama nilikuweka kwenye kundi la mpenzi tukashindwana elewa kuwa ndio nafasi pekee niliyokupatia. Nawe ufanye vivyohivyo, wala sitajali kwa sababu ni maamuzi yako.
Kupasha kiporo kwa kweli ni mwiko. Wanasema kurudia matapishi. Sijajua ni allergy au ni nini, lakini hiyo iko hivyo.
Kuna wale umezaa naye mtoto halafu mkaachana. Ukipiga simu eleza ishu za mtoto hayo mengine sijui ya maisha yanaendaje hayakuhusu, mbona mimi sikuulizi.
Dakika mbili zinatosha kutoa taarifa ya mtoto. Kama ni pesa itatumwa. Mtoto amekua mkubwa, atajieleza mwenyewe nikiongea naye.
"Oooh, nimekumiss, ooh bado nakukumbuka!" Who cares, inahusu nini, inamaana gani kwa muda huu?
Tafuta mtu mwingine, au kaa mwenyewe, fresh! Umekuwa mke au mchumba wa mtu kwa nini kunisumbua sumbua na kujifanya unanijua sana, pumbavu!
Viporo wengine ni mwiko kuvipasha! Yaani watoto kibao wazuri wamejaa huko mitaani halafu nipashe kiporo. Huyo labda sio mimi.
Tukishaachana;
1. Futa namba zangu na usinitafute kabisa. Unanisalimu salimu nini, uliambiwa wanawake wengine hawawezi kazi hiyo?
2. Choma picha zangu na zile za kwenye simu futa zote ili usinikumbuke.
3. Ikiwezekana delete faili langu kwenye ubongo wako kama mimi nilivyofanya.
Oooh, sijui nitakukumbuka, mara sitapata mwanamke mwengine kama wewe, hivi aliyekwambia nitatafuta mwingine kama wewe ni nani?
Imebaki stori, kila mtu apite kivyake. Kufuatana fuatana wengine hatutaki. Tukiachana tunamaanisha tumeachana. Full stop.
Nawatakia Sabato njema
Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
Kweli kabisa hii.Sio kweli.
Kwenye suala la Mapenzi. Mwanaume ni msaliti mara elfu zaidi ya Mwanamke.
Wanawake ni waaminifu Kwa wanaume wanaowapenda.
Ila wanaume siku zote Sisi sio waaminifu hata Kwa Wanawake tunaowapenda. Tamaa ya miili yetu tunaiendekeza mpaka tunawasaliti Wake zetu.