Elections 2010 Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

Mwamko wa wananchi wa kutaka mabadiliko ni mkubwa kuliko mategemeo. SUGU atashinda Ubunge Mbeya. Ngoja aje Dr. Slaa huko (Oktoba 5) muone atakavyoimarisha kiu ya mabadiliko ya wananchi wa Mbeya.

Nimesema kwamba wananchi vijijini wana mwako kuliko tunavyodhani kutokana na yaliyoniyokea mimi. Nilituma ujumbe kuwaomba wenzangu waungane na CHADEMA, nikakuta nimechelewa. Sio tu kwamba wameshaikubali Chadema, bali yatari wameshakuwa viongozi wa CHADEMA kwenye sehemu zao.

Kunan kitu kinaitwa empirical evidence. Ni ushahidi wa kupimika, wa kisayansi. Hali ilivyo tayari ni kwamba all available empirical evidence points to a CHADEMA victory. Opinion polls zote ambazo zimepatikana hadi sasa (ya UHURU, ya DAILY NEWS, ya JF) zinasema wananchi wanataka mabadiliko. Na ikumbukwe JF inajumuisha maoni ya Watanzania toka kona zote za dunia.

Kutopatikana kwa opinion polls za REDET ni ishara nyingine muhimu ya kuashiria kwamba CCM haifanyi vizuri kwenye opinion polls.

Ila mazoea yana tabu. Wako wachache amabo wamezoea CCM kushinda (au kutangazwa tu mshindi) kila mara kiasi ambacho sasa akili yao hairuhusu kabisa kuona uwezekano wa chama kingine kushinda. Kameingia hako kamgando vichwani mwao.

Allah Akbaru! God is great! Taifa lililotawaliwa na watu wale wale kwa miak 50 bila kupata maendeleo sasa linataka kufanya mabadiliko. Tuna heri sisi tulioruhusiwa kuyashuhudia haya. Watu waliokuwa wamekosa matumaini sasa wamesisimka tena! Wanaamini, with justification, mwakani Tanzania itaanza maisha mapya.

Ngumi ni ishara ya nguvu. Hata Mandela alitumia ishara hiyo sana! Ngumi zinazooneka kwenye kampeni za CHADEMA ni ishara ya nguvu za uma wa Watanzania. SUGU endelea kutumia ishara ya ngumi huko Mbeya. Usijali wachache wanaohaha wakiona ngumi za wananchi. Wamezoea kuona mitutu ya polisi peke yake. Wanaogopa sana nguvu za wananchi.
 
ofcoz mbeya ni moja ya mkoa ambao CCM wanakazi nzito.. lakini nawaonea huruma sana watu wa mbeya wakimuamini huyu muimba bongo flava.
 
ofcoz mbeya ni moja ya mkoa ambao CCM wanakazi nzito.. lakini nawaonea huruma sana watu wa mbeya wakimuamini huyu muimba bongo flava.


hao watu wanaojaa kwenye mikutano ya CCM ni kwa sababu ya zile burudani za bure za bongo fleva.. Kwa hiyo Muziki wa Bongo fleva unakubalika hilo halina ubishi......Na unapotaja mafanikio ya muziki wa bongo fleva Tanzania bila kumtaja SUGU utakuwa na walakini.. SUGU ni mwanaharakati mwenye fikra za kimageuzi, hao ndio watu tunaowahitaji kwa sasa. Tumechoka na wale wenye fikra mgando waliozoea kufanya vitu kwa mazoea...Mbeya wameamka ni heri wachague huyu muimba bongo fleva atakayewasidia kuliko kuchagua yule anayetaka hiyo nafasi ili aendelea kuwakandamiza wale waliomchagua.
 
ofcoz mbeya ni moja ya mkoa ambao CCM wanakazi nzito.. lakini nawaonea huruma sana watu wa mbeya wakimuamini huyu muimba bongo flava.
Mbeya kwa muda mrefu wamekuwa ni wapenzi wakubwa wa CCM, huna haja ya kuwaonea huruma kwani wanajua wanachofanya. Huu ni wakati wa kampeni na haijalishi wingi wa watu katika mikutano ya kampeni kwani watu wa Mbeya wanajua nani na nini cha kufanya.
 
Juzi nilipita Nzovwe nikakuta Mpesya anahutubia kikundi cha watu kama 15 hivi baada ya hapo akakibeba hicho kwenye kilory fulani akaenda kukihutubia tena sehemu nyingine! Jamani kwa mlioko Mbeya Nadhani mkishirikiana na Sugu vyema Jimbo anachukua tena kwa Kishindo

Mkuu nimekuchoka na sina hamu ya kuendelea zaidi
 
Hilo ni Jimbo la Mbeya Mjini, lina utamaduni wake, mahesabu ya kuangalia wanaokufuata na kukushangilia yanaweza kumponza huyo kijana. Swali jee, wapiga kura wa Mbeya wanamfahamu? Mpesya anao mtaji tayari, ana ngome nzito pembezoni, katikati kwa wajuaji watagawana lakini nako wengi wa hao wajuaji sio wapigakura. Mpesya, sio mtu wa kumbeza kabisa, anafahamu jinsi ya kuwafikia wapigakura wake, kama mtu anabisha akamulize Thom Mwang'onda.

hao watu wanaojaa kwenye mikutano ya CCM ni kwa sababu ya zile burudani za bure za bongo fleva.. Kwa hiyo Muziki wa Bongo fleva unakubalika hilo halina ubishi......Na unapotaja mafanikio ya muziki wa bongo fleva Tanzania bila kumtaja SUGU utakuwa na walakini.. SUGU ni mwanaharakati mwenye fikra za kimageuzi, hao ndio watu tunaowahitaji kwa sasa. Tumechoka na wale wenye fikra mgando waliozoea kufanya vitu kwa mazoea...Mbeya wameamka ni heri wachague huyu muimba bongo fleva atakayewasidia kuliko kuchagua yule anayetaka hiyo nafasi ili aendelea kuwakandamiza wale waliomchagua.
 
Sugu mwendo mdundo.
Nasikitika sana siko mbeya, soko matola mtaa wa nonde,
nyumba namba namba sita,
hakika wewe ndio chaguo langu.
Tangu zama za madisco ya loleza, mbeya day, sangu, meta na mtc...
Mbeya needs you bro, dont give up..
Haya ni mapambano, hamna ushindi unaokuja kirahisi
 
Kaka unaongea kitu usicho kijua.
Thom mwang'onda alikuwa anagombea rungwe na mwandosya, siyo mbeya mjini.
Niko dsm lakini watu wangu wote wa mby wamenihakikishia kuwa kura zao ni kwa thugu
hilo ni jimbo la mbeya mjini, lina utamaduni wake, mahesabu ya kuangalia wanaokufuata na kukushangilia yanaweza kumponza huyo kijana. Swali jee, wapiga kura wa mbeya wanamfahamu? Mpesya anao mtaji tayari, ana ngome nzito pembezoni, katikati kwa wajuaji watagawana lakini nako wengi wa hao wajuaji sio wapigakura. Mpesya, sio mtu wa kumbeza kabisa, anafahamu jinsi ya kuwafikia wapigakura wake, kama mtu anabisha akamulize thom mwang'onda.
 
Naogopa kuwatukana.
Sugu is the young boy raised from mbeya grounds.
Watu wanamjua na anajulikana.
Go straight forwards to his songs,
zisikilize kwa makini.
Halafu uniambie mpesya ameifanyia nini mbeya mjini?
Tangu enzi za mwasimba nonde ni ile ile hadi leo ,
hii ni aibu kkubwa kwa wana mbeya
hao watu wanaojaa kwenye mikutano ya ccm ni kwa sababu ya zile burudani za bure za bongo fleva.. Kwa hiyo muziki wa bongo fleva unakubalika hilo halina ubishi......na unapotaja mafanikio ya muziki wa bongo fleva tanzania bila kumtaja sugu utakuwa na walakini.. Sugu ni mwanaharakati mwenye fikra za kimageuzi, hao ndio watu tunaowahitaji kwa sasa. Tumechoka na wale wenye fikra mgando waliozoea kufanya vitu kwa mazoea...mbeya wameamka ni heri wachague huyu muimba bongo fleva atakayewasidia kuliko kuchagua yule anayetaka hiyo nafasi ili aendelea kuwakandamiza wale waliomchagua.
 
Sugu anafanya hip hop sio ubongo wa fleva
hao watu wanaojaa kwenye mikutano ya ccm ni kwa sababu ya zile burudani za bure za bongo fleva.. Kwa hiyo muziki wa bongo fleva unakubalika hilo halina ubishi......na unapotaja mafanikio ya muziki wa bongo fleva tanzania bila kumtaja sugu utakuwa na walakini.. Sugu ni mwanaharakati mwenye fikra za kimageuzi, hao ndio watu tunaowahitaji kwa sasa. Tumechoka na wale wenye fikra mgando waliozoea kufanya vitu kwa mazoea...mbeya wameamka ni heri wachague huyu muimba bongo fleva atakayewasidia kuliko kuchagua yule anayetaka hiyo nafasi ili aendelea kuwakandamiza wale waliomchagua.
 
Wakuu nimetoka mbeya juzi na bahati nzuri nimehudhulia mkutano wa ccm na mbunge wao mpesya uliofanyika uyole - sokoni inasikitisha saaana yaani ukisikia kampeni za maji taka ndo za ccm mbeya mjini, kwanza ulikuwa hauna msisimko kabisa, majungu na matusi mengi na watu hawakuwepo, yaani noma. Si kawaida kwa uyole kutokuhudhulia kikao cha ccm nilishangaa sana, sugu anawachemsha kishenzi!
Henge, wengi tunatamani mabadiliko ya kweli, hivyo taarifa hizi za matumaini zinatia moyo sana.
Angalizo, tusitegemee tuu mikusanyiko ya watu na hamasa za kampeni, jee watu hao ni wapiga kura?.
Baada ya kuhudhuria chaguzi ndogo za Kiteto, Tarime, Biharamulo, Busanda, na Mbeya vijijini, nimejifunza kitu kwani kote isipokuwa Tarime, niliduwazwa na matokeo. Lets hope for the best but be prepared for the worst!.
CCM Bwana...sii mchezo!
 
Back
Top Bottom