DuhWengine hatuna tu option kulingana na vitisho tulivyopandizwa tangu utotoni ila huyu Mungu hatumpendi haswa
mkuu kumbuka wakati Mungu anamuumba mwadamu haikuwa lengo lake mwanadamu kufa ila alimwambia utakapo kula mtu huo ni hakika utakufa.Katuondolea vipenzi vyeti ametuacha na majonzi yasiyoisha.




Sasa Naja naja haya malalamiko umeleta huku unataka tukusaidieje?
Afu kuna mada nyingi tu za kipuuzi unaweza kuanzisha na ukapata wachangiaji.
Fanyeni dhihaka na vitu vingine, si Mungu.