Jamani uchaguzi wa Arumeru umekuwa pigo kubwa kwa CCM na neema kwa chadema. Kuna watu wengi nilikuwa nawajua ni wana CCM wabishi kweli ila wamebadilika bwana. Wanasema upepo huu wa mabadiliko hatuwezi kuuzuia. Nashauri Chadema wakati wanapita nchi nzima kwa operation changia katiba, wafungue matawi, hawasisheni sana watu, anza kuwaandaa wanachadema kushika nchi 2015. Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees Powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr