Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,236
Mbona ameondoka na timu imeimarika ?
Full Time : Arsenal 4 - 2 Totenham Hotspurs .
Alikuwa kama MaguView attachment 953512
Mbona ameondoka na timu imeimarika ?
Full Time : Arsena 4 - 2 Totenham Hotspurs .
Hilo jina lina gundu vibaya mno !Alikuwa kama Magu
Kwa Arsenal ni mapema mno kusema chochote. Wakati wa Mzee Wenger walikuwa wanaanza vizuri sana. February mpaka April ndiyo walikuwa wanapoteana kabisa. Ikifika May wanakuwa wameshakubali matokeo.
Mesut Özil hakucheza mchezo wa leo sababu ya LGBT community.Wenger alikuwa anapingana na wakati na alibaki na style moja bila plan B, leo Unai Emry kamuweka benchi ozil game tatu mfululizo lakini babu angempa nafasi game zote,huyu Kila game na plan yake
Sure mkuu, kocha anajua sana game planSasa hv huwa sina presha tukiwa tunacheza na big six naamini tutafungwa kwa Bahati mbaya
United hanipi pressure, we timu gani MOT kipa ndo anachukua kila sikuTusubiri... Tukimu Amber Ruth.Man U ndo nitakuwa na uhakika sasa na team yetu.
Mgt inatuangusha pia Wenger alishindwa kwenda na mabadirikoHii ndio arsenal ya miaka hiyo, sijui nini kilitokea hadi ikafail mbaya
MOTMUnited hanipi pressure, we timu gani MOT kipa ndo anachukua kila siku
Hapana alijaa kiburi, na kujiona yeye ndio kila kitu. Kisa jina lake na club linafanana!!!Wenger hakuwa nuksi bali aliishiwa maarifa/mbinu.
Acha uongo chukua record ya mwaka jana, mpaka mwezi huu tulikuwa wa ngapi? Arsen Wenger mechi ya kufungwa tunafungwa, mechi ya kushinda tunatoa suluhu au tunafungwa pia.Kwa Arsenal ni mapema mno kusema chochote. Wakati wa Mzee Wenger walikuwa wanaanza vizuri sana. February mpaka April ndiyo walikuwa wanapoteana kabisa. Ikifika May wanakuwa wameshakubali matokeo.
Usiulize babu pigia mstariView attachment 953512
Mbona ameondoka na timu imeimarika ?
Full Time : Arsena 4 - 2 Totenham Hotspurs .