Wema wangu ulinikosesha manzi, sirudii tena

Wema wangu ulinikosesha manzi, sirudii tena

Mkuu ngoja nikupe mbinu nyepesi ambayo nilikua naitumia kwenye mazingira kama hayo na haijawahi kuniangusha.

Kwanza hakikisha home kwako una mafuta au lotion nzuri ya kupaka. Pia jifunze kumfanyia mtu massage.

Akitoka kuoga muombe kumfuta maji na kumpaka mafuta/lotion, wakati unampaka mafuta/lotion msifie kwa maneno mazuri jinsi alivyoumbika na jinsi ulivyobahatika kuwa nae kwa muda huo.
Wakati unamalizia zoezi lako muombe kwa maneno matamu kumfanyia massage ili kumuondolea uchovu wa safari. Kufikia point hii wengi huwa hawajiwezi kumchapa nao ni kama kumsukuma mlevi.

Hii mbinu haijawahi kuniangusha, cha muhimu ni kutokua na papara, kuwa na maneno mazuri na kuacha vitendo vitawale zaidi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwez jua umejiepusha na nini brother, jipe pongezi, matatizo mengi ya kulala ovyo ovyo au kula matunda kimasihara kama thread moja inayowajumuisha wazinifu humu jamii forum sehem moja, yanatokana na kulala ovyo ovyo na wanawake

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28] haya bhana ngoja nijipongeze kinafiki[emoji19][emoji19]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ngoja nikupe mbinu nyepesi ambayo nilikua naitumia kwenye mazingira kama hayo na haijawahi kuniangusha.

Kwanza hakikisha home kwako una mafuta au lotion nzuri ya kupaka. Pia jifunze kumfanyia mtu massage.

Akitoka kuoga muombe kumfuta maji na kumpaka mafuta/lotion, wakati unampaka mafuta/lotion msifie kwa maneno mazuri jinsi alivyoumbika na jinsi ulivyobahatika kuwa nae kwa muda huo.
Wakati unamalizia zoezi lako muombe kwa maneno matamu kumfanyia massage ili kumuondolea uchovu wa safari. Kufikia point hii wengi huwa hawajiwezi kumchapa nao ni kama kumsukuma mlevi.

Hii mbinu haijawahi kuniangusha, cha muhimu ni kutokua na papara, kuwa na maneno mazuri na kuacha vitendo vitawale zaidi.


Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] unamsifia kwani demu wako huyu kaja kulala kwa dharura tu we jamaa unahisi nlikua nshamtongoza ndo akaja kulala kwangu??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] unamsifia kwani demu wako huyu kaja kulala kwa dharura tu we jamaa unahisi nlikua nshamtongoza ndo akaja kulala kwangu??

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hawa watu wanapenda kusifiwa hata kama ni uongo. Na kumsifia mtu sio lazima umtongoze.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejikutaaaa napata hasira
Mwaka 2012 nlikuwa natoka Iringa kupitia Mtera kwenda Dodoma, enzi hizo hakuna barabara ya lami, njiani mida ya sa12 nikampakia mrembo mmoja ni mwalimu alikua anatoka BTP (sijui kama nimepatia) mafunzo ya ualimu kwa vitendo.

Gari ilizingua njiani plus mvua kuubwa tulifika Dom saa6 usiku, mrembo anaenda kwao Nara mi naishi uhindini, nikampeleka hadi 4ways nikamsubiria apate usafiri ikashindikana. Nilimchaji 10,000 kama nauli nikaamrudishia atafute gesti alale, akakosa na hakua na jinsi ikabidi nimpeleke kwangu hapo nakaa alone, kufika home kutokana na mvua kubwa begi aliliacha kwenye gari.

Rumu ni master akaingia kuoga akarudi na chupi mkononi kaifua[emoji39][emoji39][emoji39] mimate ikanitoka hatari. Ndani ni kitanda na sofa moja la watu3, nkaingia kuoga narudi namkuta kalala kitandani. Nlimpa tracksuit avae

Nikalala kando yake sikumgusa nikiamini kesho yake atanipa mzigo. Kutokana na uchovu wa safarina gari kuzingua njiani nikapitiwa na usingizi.

Asubuhi akaniambia nimwache aende na kwamba atarudi tena maana alikua anasoma Capital TTC.

Aliposepa hakupokea simu hadi leo na sikuhangaika kumfata chuoni maana hata sio mbali. Ngejua ngemtafuna usiku na uchovu wangu. Huu ufala sitakaa niurudie tena.

NB: picha haihusiani na madaView attachment 1303981

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom