Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,566
Nimekopi hiki kisa! nadhani huyu ni lofa wa kwanza, huyu dada hatakaa amsahau...
leteni visa vyenu, naambatanisha na picha ili kuondoa uchovu kwa wanaume,,picha haina uhusiano na mada
Mwaka 2012 nlikuwa natoka Iringa kupitia Mtera kwenda Dodoma, enzi hizo hakuna barabara ya lami, njiani mida ya sa12 nikampakia mrembo mmoja ni mwalimu alikua anatoka BTP (sijui kama nimepatia) mafunzo ya ualimu kwa vitendo.
Gari ilizingua njiani plus mvua kuubwa tulifika Dom saa6 usiku, mrembo anaenda kwao Nara mi naishi uhindini, nikampeleka hadi 4ways nikamsubiria apate usafiri ikashindikana. Nilimchaji 10,000 kama nauli nikaamrudishia atafute gesti alale, akakosa na hakua na jinsi ikabidi nimpeleke kwangu hapo nakaa alone, kufika home kutokana na mvua kubwa begi aliliacha kwenye gari.
Rumu ni master akaingia kuoga akarudi na chupi mkononi kaifua mimate ikanitoka hatari. Ndani ni kitanda na sofa moja la watu3, nkaingia kuoga narudi namkuta kalala kitandani. Nlimpa tracksuit avae
Nikalala kando yake sikumgusa nikiamini kesho yake atanipa mzigo. Kutokana na uchovu wa safarina gari kuzingua njiani nikapitiwa na usingizi.
Asubuhi akaniambia nimwache aende na kwamba atarudi tena maana alikua anasoma Capital TTC.
Aliposepa hakupokea simu hadi leo na sikuhangaika kumfata chuoni maana hata sio mbali. Ngejua ngemtafuna usiku na uchovu wangu. Huu ufala sitakaa niurudie tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
leteni visa vyenu, naambatanisha na picha ili kuondoa uchovu kwa wanaume,,picha haina uhusiano na mada
Mwaka 2012 nlikuwa natoka Iringa kupitia Mtera kwenda Dodoma, enzi hizo hakuna barabara ya lami, njiani mida ya sa12 nikampakia mrembo mmoja ni mwalimu alikua anatoka BTP (sijui kama nimepatia) mafunzo ya ualimu kwa vitendo.
Gari ilizingua njiani plus mvua kuubwa tulifika Dom saa6 usiku, mrembo anaenda kwao Nara mi naishi uhindini, nikampeleka hadi 4ways nikamsubiria apate usafiri ikashindikana. Nilimchaji 10,000 kama nauli nikaamrudishia atafute gesti alale, akakosa na hakua na jinsi ikabidi nimpeleke kwangu hapo nakaa alone, kufika home kutokana na mvua kubwa begi aliliacha kwenye gari.
Rumu ni master akaingia kuoga akarudi na chupi mkononi kaifua mimate ikanitoka hatari. Ndani ni kitanda na sofa moja la watu3, nkaingia kuoga narudi namkuta kalala kitandani. Nlimpa tracksuit avae
Nikalala kando yake sikumgusa nikiamini kesho yake atanipa mzigo. Kutokana na uchovu wa safarina gari kuzingua njiani nikapitiwa na usingizi.
Asubuhi akaniambia nimwache aende na kwamba atarudi tena maana alikua anasoma Capital TTC.
Aliposepa hakupokea simu hadi leo na sikuhangaika kumfata chuoni maana hata sio mbali. Ngejua ngemtafuna usiku na uchovu wangu. Huu ufala sitakaa niurudie tena.
Sent using Jamii Forums mobile app