Ngoshwe, Uko sawa kabisa broda, na umeniwahi:, ungechelewa ningeipeperusha!
Hii ndio forrum ya great thinkers bana...sio watu mnaacha proffession zenu zinabakwa na kutukanishwa na F.O.Ds and you remain just silent like stooges!...huh!
Watu wanatafuta kutoa habari na kupata tips tu, bila hata kujali kuwa watu wengine wameumia na kupinda mugongo kwa proffession yao...shiit!