Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Kwani bado hujajuwa umaskini wetu unatokana na nini? Taifa lililojaa mijitu mizembe na inayoshabikia kila upunguani wanaoletewa ni vigumu watu wake kupata maendeleo.Ni kama njia mpya ya kutangaza biashara fulani fulani. Inatia kinyaa kuona umma unavyoshabikia vitu visivyo na kichwa wala miguu. Kweli Tanzania Tanzia maana kila juha awezaonekana mjanja!