SebbyJ
Member
- Sep 25, 2014
- 36
- 2
Umechanja mpaka k lakini haikulipi.....kaoshee mmavi mavi utuo gwasu.
....Ptuuuu!!!!
Umechanja mpaka k lakini haikulipi.....kaoshee mmavi mavi utuo gwasu.
Chefuuuu......mkojo kwangu mafuta nazidi kunawili,unatamani utufikie lakini tumekuacha mbaliiiiii.
Lazima ushupae...kojo unalomwagiwa wewe mixer miharage na minyanya chungu,protein gani utapata.
Mwanamke shart umwagiwe kojo la ukwee.Vipi kimboka hakukulipi???
Watu hawashindani, they live the way they feel like.....hakuna kucopy.....iga ufe!!!!
Kweli nina wasiwasi hata na ubongo wako haupo sawa, egemea kwenye mada. Sisi tupo humu kuwanyoosha vichwa nazi kama nyie na ninachangia uzi wowote ndio maana kila jukwaa utaniona. Kingine unajua maana ya umbea au hiyo video kuiangalia na kumshauri mama yako imekuwa umbea.Unaonekana bado mtoto jitahidi kusoma na kujifunza ujuzi wowote usije ukaja kuwapa lawama ndugu zako huko baadae kwa kuomba misaada.Nashangaa kila nikitoka naona naitwa kwenye hivi vijungu vyenu....kwahiyo maudhui ya jukwaa hili ni kukalia umbea....chagua topic za kuingia kijana! Mwanaume ambaye mwanzo mpaka mwisho anacomment kwenye umbea mmmh.....ful wasiwasi....keep it up!!!!
Mmmhhh
Huu uzi sshiv unafika comments mia
Hahahaa
Hajui hili jukwaa ndo mahali yake haya mambo. ...
kuiga ujinga!!!!
km ndo mama enu mnamsifi kwa ujinga wake mwambieni enzi zake zishaishaaAAAAAAA
kafulia mbayaaaaaa
kutwa kutafuta jina namuona anavyoshindana na vitoto
mwambie hana maajabu tena
kumbe ndo mana mzee sepetu alimkimbia znz!!!!
akaishia kulipiwa mahari hata ndoa hakuambulia nani aoe bomuuu lileeeee
heheeeeeereo anatak a kushindana na vitoto wapiiiiii
ye zeeeeeeeeeeee tena jizeeeeeeeeeee hasaaaaa
mpaka hedhi kakomaaaa
Kweli walimu wenu walikuwa na kazi,hivi kuna kaka yako alipata mimba kwa kushika keypads zake za simu.Maana naona unatoa tahadhari kama kwamba limeshawahi kuwatokea kwenu.Kubali ushauri na usiwe mzigo kwa ndugu zako.Najua unaelewa kisirisiri ndio maana unakuja na maneno makali.
Mtoto wa kiume muda wote kwenye umbea unatafuta nini!? Kama ushauri c umeisha toa! Labda kama unataka kutongozwa!!!![/QUOTEJ
Kweli wewe ni product ya mazombie, kwahyo humu nikutongozana tu. Mimi nipo holiday na sehemu yangu kubwa ya mapumziko ni kushinda jf na matambezi ya hapa na pale.Najua hauwezi kupata fursa kama mimi maana ulikimbia shule na ujuzi hauna ndio maana ukatafuta role model anayeendana na kichwa na nazi kama chako.Nenda basi hata jukwaa la ujasiriamali na biashara unaweza ukapata hata dondoo za kuanzisha kuuza vitumbua ,ikakusaidia hata kujiunga GEPF kwa maisha yako ya baadae.Sitakoma kukupa ushauri kukuokoa wewe, familia yako pamoja na Taifa.
Hivi unajua maana ya Wallah wewe???toa upuuzi wako hapa laanakum wewe,unatoa kiapo kikubwa namna hiyo kwa mtu usiyemjua???
Hii clip imemdhalilisha kuliko ile ya kwanza
kuna watu hata nadhani walikua hawajawahi kuiona ila now watakua curious na hiyo lugha sio nzuri
hakuna aliye mkamilifu ila huwezi acha kukosoa inapobidi kisa huwa unafanya makosa.
Nakuonea huruma maana maandishi yako yana akisi na akili yako ilivyo ila inaweza ikawa lishe duni pindi ulipokuwa mtoto kwa hili sitakulaumu nitawalaumu waliopaswa kukulisha udogoni.Naomba usiniongezee notification kwenye akaunti yangu .
Yaani wewe mwenye akili wema ndio role model wako...lol....
Geniveros huna jipya humu.....ongeza comment kuonyesha jinsi gani mnamfagilia!!!!
Yaani wewe mwenye akili wema ndio role model wako...lol....
Mwehu tu huyu
Hongereni kwa kupata mahali pa kujifariji.....jinsi gani nyie wenyewe mnavyomfagilia Wema.....comment zinakaribia elfu moja....weka kajala uone.....Wema she is a rock star lol!!!!
Binamu pm yangu hujaiona au dharau??? Au we hujala pilau leo niniii aaa nijibu
Sijaona, ngoj nichek