pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,654
- 6,277
Kamanda Sirro kasema baada ya kumuhoji walifanya upekuzi nyumbani kwake na kukuta kuna msokoto wa bangi na kifungio.
=========
Mrembo Wema Sepetu anatarajiwa kupandishwa kizimbani kufuatia tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi katika nyumba anayoishi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna wa Jeshi la Polisi, Simon Sirro amesema kuwa Wema na mwenzake watapandishwa mahakamani kwa tuhuma za kukutwa na wa bangi kwenye nyumba zao.
Kamanda Sirro alisema kuwa upekuzi uliofanywa katika nyumba ya Wema Sepetu alikutwa na msokoto mmoja wa bangi pamoja na karatasi maalum za kuvutia bangi zijulikanazo kama ‘Rizla’.
Pamoja na Wema Sepetu, mwingine atakayepandishwa kizimbani ni pamoja Bakari Mcheni ambaye yeye katika upekuzi huo alikutwa na misoko mitatu ya bangi.
Kamanda Sirro alisema watu 10 watapelekwa mahakamani kwa ajili ya kula kiapo juu ya mwenendo wa kimaadili kutokana kutumia dawa za kulevya ambapo kwa ndani ya miaka miwili wasihusike na kutumia dawa hizo pamoja na kuripoti Polisi mara mbili kwa mwezi. Watu hao wataokula kiapo hicho ni Hamidu Chambuso, Rumeo George, Sideo Mwandigo, Khalidi Mohamed ‘TID’, Johanes Mansen, Said Masoud ‘PTT MAN,’ Rajab Salum, Lulu Chelangwa, Nasoro, pamoja na Bakari Kierefu.
Katika operesheni hiyo ya kusaka watu wanaojihusisha na dawa za kulevya walikamatwa watu 112 ambapo kati ya hao 12 ni wasanii Bongo fleva na Bongo Muvi.
Aidha katika operesheni inayoendelea, dawa za kulevya 299 na Puli 104 vilikamatwa.
Akizungumzia madai kuwa kuna baadhi ya watu wameonewa, Kamanda Sirro amesema kuwa watu wote waliokamatwa hakuna mtu aliyeonewa katika hilo na walikuwa wazi katika mahojiano
Chanzo: SwahiliTimes
=======
Wema Sepetu kukamatwa na kuhukumiwa kwa kukutwa na madawa ya kulevya
Kuhukumiwa na kuachiwa huru baada ya kulipa faini
=========
Mrembo Wema Sepetu anatarajiwa kupandishwa kizimbani kufuatia tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi katika nyumba anayoishi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna wa Jeshi la Polisi, Simon Sirro amesema kuwa Wema na mwenzake watapandishwa mahakamani kwa tuhuma za kukutwa na wa bangi kwenye nyumba zao.
Kamanda Sirro alisema kuwa upekuzi uliofanywa katika nyumba ya Wema Sepetu alikutwa na msokoto mmoja wa bangi pamoja na karatasi maalum za kuvutia bangi zijulikanazo kama ‘Rizla’.
Pamoja na Wema Sepetu, mwingine atakayepandishwa kizimbani ni pamoja Bakari Mcheni ambaye yeye katika upekuzi huo alikutwa na misoko mitatu ya bangi.
Kamanda Sirro alisema watu 10 watapelekwa mahakamani kwa ajili ya kula kiapo juu ya mwenendo wa kimaadili kutokana kutumia dawa za kulevya ambapo kwa ndani ya miaka miwili wasihusike na kutumia dawa hizo pamoja na kuripoti Polisi mara mbili kwa mwezi. Watu hao wataokula kiapo hicho ni Hamidu Chambuso, Rumeo George, Sideo Mwandigo, Khalidi Mohamed ‘TID’, Johanes Mansen, Said Masoud ‘PTT MAN,’ Rajab Salum, Lulu Chelangwa, Nasoro, pamoja na Bakari Kierefu.
Katika operesheni hiyo ya kusaka watu wanaojihusisha na dawa za kulevya walikamatwa watu 112 ambapo kati ya hao 12 ni wasanii Bongo fleva na Bongo Muvi.
Aidha katika operesheni inayoendelea, dawa za kulevya 299 na Puli 104 vilikamatwa.
Akizungumzia madai kuwa kuna baadhi ya watu wameonewa, Kamanda Sirro amesema kuwa watu wote waliokamatwa hakuna mtu aliyeonewa katika hilo na walikuwa wazi katika mahojiano
Chanzo: SwahiliTimes
=======
Wema Sepetu kukamatwa na kuhukumiwa kwa kukutwa na madawa ya kulevya
- Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi
- Kamanda Siro: Wema Sepetu, TID na Nyandu Tozi bado wanashikiliwa na jeshi la polisi
- Sakata la Madawa ya Kulevya: Wema Sepetu afikishwa Mahakamani, apata dhamana
- Wema Sepetu kapatikana na bangi
- Tundu Lissu kumtetea Wema Sepetu
- Maajabu: Serikali haiwajui Vigogo wa Dawa za Kulevya hadi inataka Wema awatajie?
- Makonda kumfuata Wema mahabusu nyakati za usiku, hii imekaaje?
- Sauti ya Wema Sepetu iliyosambaa akiwatoa hofu Mashabiki
- Kesi ya Wema Sepetu hadi mwakani
- Wema Sepetu amefiwa, kesi yake yapigwa kalenda
- Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi
- Wema Sepetu Apandishwa Tena Kizimbani Kisutu leo
- Vita ya Dawa za Kulevya: Steve Nyerere alivyopiga kambi Bungeni Kumuokoa Wema Sepetu
- Kesi ya Wema Sepetu yaahirishwa, uchunguzi haujakamilika
- Kutoka mahakamani: Wema Sepetu hakufanyiwa upekuzi kwenye maungo ya mwili wake, asema Hakimu
- Mkemia Mkuu: Mkojo wa Wema Sepetu ulikuwa na bangi
- Kibatala aandika barua ya kujitoa kesi ya Wema Sepetu, Alberto Msando aandika barua ya kuwa wakili mpya
- KISUTU: Wema Sepetu afika na Wakili wake Msando kwenye kesi. Diamond na Hamisa nao wafika Mahakama ya watoto
- Shahidi kesi ya Wema asema bangi ilikutwa jikoni
- Kisutu: Korti yakataa vielelezo vya ushahidi kesi ya Wema Sepetu. Masogange akutwa na kesi ya kujibu
Kuhukumiwa na kuachiwa huru baada ya kulipa faini