Wema Sepetu atangaza nia

Wema Sepetu atangaza nia

Itakuwa Lusinde (mzee wa niwambie nisiwambie?) Kaomba backup
 
kabla ujamnyooshea mwenzio kidole jichunguze wewe ni msafii..!! acha kumuhukum mwenzioo naye kazaliwa kama wewe

Masupastaa ni wengi kwa nn asemwe yeye?lazima kuna tatizo na hii nchi inavyokwenda mwezi wa kumi huyu mjengoni
 
well said mkuu. Mtu kama huyu sidhani kama anaweza hata kujenga hoja yenye mashiko.


The girl has nothing in her head.....yeye anadanganyika na watanzania wanaopenda kujuwa vituko vyake. Hapa kaanza kujitoa yeye, sasa hivi tutawaona machangu wote wa bongo muvi wanasaka ubunge wa viti maalum maana huko location wamechokwa na kina Rich, Ray na Dude. Serikali lazima iwabane hawa watu, we don't need comedians. Mbumbumbu atatungaje sheria ya nchi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom