Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
Acha ujinga wewe. Uswahili ndiyo kitu gani?
Nimependa. Ume attack vizuri.
Acha ujinga wewe. Uswahili ndiyo kitu gani?
Like Mom Like Daughter..huyu mama hana busara na hata shule nina mashaka nayo..mswahili na mshirikina sana anaonekana..yani una ropoka kumtengeneza kwa mganga binti..what a shame..? ngoja aje zamaradi mketema na ID yake ya Mrembo By Nature aanze kumwaga mitusi!
Wanaume wanaochangiaga threads za Wema au Lulu naona kama ni wale wanaume wambea wambea...
na wewe umechangia tayari lakini...!!