shamba heka laki3 ni wizi,makola,unafikiria kama mtu wa dar,ardhi dar in gharama kwa kuwa wahitaji ni wengi na pia sio kwa ajili ya kilimo,ardhi ya kilimo bei bado iko chini,takwimu zinaonyesha kuwa kilimo ni 35% ya matumizi ya ardhi tz,iliyobaki bado hijatumika kwa kilimo.UPO DUNIA IPI?