Wekeza na airtel money branch

Mrs minel

Member
Sep 3, 2014
64
53
Habari ndugu zangu. Naona airtel wana hizi fursa za wekeza na airtel money branch. Viduka hivi vimetapakaa kila kona. Je kama mtu anahitaji kufungua hivi viduka ni taratibu gani zifuatwe na je linakua ni duka private la mtu au ni la airtel. Msaada plz
 
Back
Top Bottom