Mbele kuna Black Hawk
Ni kwa sababu zinatumika pale zinapohitajika tu... Zaidi ya hapo zinatulia kwa sababu ni gharama sana kuziendesha kutoka zilipo mpaka kwenye enea la tukio.Hivi kwanini zinabebwaga kwenye meli wakati zinaweza kupaa
Ni kwa sababu zinatumika pale zinapohitajika tu... Zaidi ya hapo zinatulia kwa sababu ni gharama sana kuziendesha kutoka zilipo mpaka kwenye enea la tukio.
Ukiacha hayo... Pia hizo siyo commercial airline useme zina specific destination... Zikitumiwa kwenda kupiga/kushambulia mahali haitaletaa maana, kwamba mfano zisafiri umbali wote toka USA mpaka korea zipigie alafu zirudi tena USA kwa ajili ya reload zirudi tena kupiga ni gharama sana...
Ndiyo maana hizo meli siyo tu hutumika kuzibeba bali pia ni base station inayojitosheleza kwa kila kitu.
Cc: mahondaw
Asante mkuu.... hatari sana haya madudeNi kwa sababu zinatumika pale zinapohitajika tu... Zaidi ya hapo zinatulia kwa sababu ni gharama sana kuziendesha kutoka zilipo mpaka kwenye enea la tukio.
Ukiacha hayo... Pia hizo siyo commercial airline useme zina specific destination... Zikitumiwa kwenda kupiga/kushambulia mahali haitaletaa maana, kwamba mfano zisafiri umbali wote toka USA mpaka korea zipigie alafu zirudi tena USA kwa ajili ya reload zirudi tena kupiga ni gharama sana...
Ndiyo maana hizo meli siyo tu hutumika kuzibeba bali pia ni base station inayojitosheleza kwa kila kitu.
Cc: mahondaw
kuna ile style ya kutema mateUmenikumbusha mbali: enzi tukiwa wadogo unachora mstari halafu unamwambia kama wewe ni mwanaume vuka. akivuka ngumi zinaanza.
Kuna kitu kinaitwa "after burning" kwenye hizi ndege zinazowezeshwa na Jet engine na hicho ndo unachokiona hapo kama motoHuo moto kwenye engine unatokana na nini mkuu?
Hizo ni:Nini iko tena Smart911 mylove ??
Kuserv mafutaHivi kwanini zinabebwaga kwenye meli wakati zinaweza kupaa
Black Hawk ni helicopter inayotumika ki-mkakati zaidi.. Kwenye mission zinazotaka umakini wa hali juu sana bila kuleta attention yoyote na kwenye mazingira yoyote... Ni helicopter ya kivita/jeshiHii pia ni fighter..au black hawk ni nini
mMkuu ndio hii ilitumika kwenye mission ya kumdaka Osama ambayo ina silence mode?Black Hawk ni helicopter inayotumika ki-mkakati zaidi.. Kwenye mission zinazotaka umakini wa hali juu sana bila kuleta attention yoyote na kwenye mazingira yoyote... Ni helicopter ya kivita/jeshi
Pia hutumika kupeleka wanajeshi kwenye maneno yasiyofikika kirahisi, kuokoa misha ya watu, kuhamisha watu, kupeleka huduma ya kwanza kwenye majanga, ingawa nayo imetengenezwa kijeshi na ipo tayari kwa shambulio lolote lile.. Hutumika hata kwenye doria zinazohitaji uangalizi wa kijeshi...
Cc: mahondaw
Yes ni Black Hawk Helicopter lakini siyo kama hizi tulizozizoea kuziona. Zile zilikuwa more advanced. Ile ilikuwa ni modified Sikorsky Black Hawk,technology yake ni ya siri sana.mMkuu ndio hii ilitumika kwenye mission ya kumdaka Osama ambayo ina silence mode?
Hakuna kitu kinaitwa silence kwenye ndege bali kuna mfumo unaitwa idle...isipokuwa hicho unachotaka kujua kuhusu ukimya/noiseless hutokana na muundo wa Propeller blades na namna gani zimepachikwa/fixed kiufupi propeller fastenedmMkuu ndio hii ilitumika kwenye mission ya kumdaka Osama ambayo ina silence mode?
funguka zaidi mkuu...sijaelewa unasema hakuna kitu silence modeHakuna kitu kinaitwa silence kwenye ndege bali kuna mfumo unaitwa idle...isipokuwa hicho unachotaka kujua kuhusu ukimya/noiseless hutokana na muundo wa Propeller blades na namna gani zimepachikwa/fixed kiufupi propeller fastened
Hayo makaa ya mawe brotherHuo moto kwenye engine unatokana na nini mkuu?
kwani umeshahamia dodoma nkamo?Hizi ndo za magu zilimfanya mchepuko wangu anikumbatie kwa uoga wakati naendesha gari zilipopita jana juu yangu nusura ajinyee na kunisababishia ajali kwa jinsi alivyonirukia tokea kwenye seat yake pemben4