Kizazi kichafu na cha zinaa, kimejaa misemo michafu yenye kuashiria uzinzi na uasherati, watu waliojaa macho ya uzinzi na matamanio, jamii iliyopotoka na kuwa watumwa wa ngono!
Watu wa Sodoma na Gomora kama wangefufuliwa leo hii, hakika wangetuonea wivu kwa jinsi ya matendo yetu ya ngono yamewazidi wao.
MUNGU BABA utuhurumie na kutusamehe sisi tuliopotoka.