Weka maneno kwenye picha hii

Sniper

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
1,915
709
Weka maneno kwenye picha hii
nepinamnyika.jpg
 
Duh, Nepi ana bonge la mipaja, imenona, yani ungeziba kuanzia kiunoni kuelekea juu, comment zingekuwa tofauti sana....#justsaying
 
Nape anasema: Halafu we dogo uache habari zako za kunizibia ninapotaka kujiunga CDM,....mnyika nae, ....kama sio gamba we njoo tuuu!
 
Nape:...aisee mnatupeleka peleka.

JJ:...acheni uoga, mnakuwa kama hamjui siasa bwana!

Nape:...ila mmetukubali kiana.

JJ:...¨ªla chai ya ikulu tamuu...

Nape:...hahahaaa, karibuni tena

JJ:...ngoja nionge na mwenyekiti tutafute sababu, he! Umehamia VETA?

Nape:...umenichoka ee...
 
'Naona kuna kautabiri hapa kanataka kutokea kutokana na hizi suti tulizovaa!!!!!!!!
 
Nape:...aisee mnatupeleka peleka.

JJ:...acheni uoga, mnakuwa kama hamjui siasa bwana!

Nape:...ila mmetukubali kiana.

JJ:...¨ªla chai ya ikulu tamuu...

Nape:...hahahaaa, karibuni tena

JJ:...ngoja nionge na mwenyekiti tutafute sababu, he! Umehamia VETA?

Nape:...umenichoka ee...

no coment, umeweza nadhani
 
Weka maneno kwenye picha hii
View attachment 42837
"Nape:We dogo hivi kwa nini Hukuniachia jimbo la ubungo?"
Mnyika:Kwani mimi? si Mwenyekiti wenu akamweka yule mama?

Nape:Halaf mkanibania kujiunga kwenu....

Mnyika:Ujiunge ili ugombee ubungo....!kwani mie sitaki ubunge?

Nape:Anyway....!nikitaka kujiunga CDM inakuwaje??

Mnyika:Acha tamaa dogo,kwanza we si ulipewa u-DC Masasi? na huku unataka,Katibu mwenezi wewe,gamba wewe,CCJ wewe...! duh ndo maana wenzio wanakuita rafiki wa David Cameroon

Nape:Naona umeanza kuingia mpaka ndani,utavimba si muda dogo.......

Mnyika:Fisadi tu weweeeeeeeee......................
 
Nape: Mnyika unajua CCM wasingefanya uhuni na wakanipitisha kugombea ubunge ningekushinda jimbo la Ubungo?

Mnyika: Wewe acha hizo, wakati mimi nilikuwa na nguvu ya umma!

Nape: Mbona vijana wote wa Ubungo nilisha wateka na kuwaahidi maisha bora?

Mnyika: Vijana wa Ubungo sio kama wa majimbo mengine, hawadanganyiki.
 
Hivi kwa nn usiwe unanipa twishen ya kuongea point kaka mnyika nadhallka kila nachoongea naonekana zuzu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom