Nape:...aisee mnatupeleka peleka.
JJ:...acheni uoga, mnakuwa kama hamjui siasa bwana!
Nape:...ila mmetukubali kiana.
JJ:...¨ªla chai ya ikulu tamuu...
Nape:...hahahaaa, karibuni tena
JJ:...ngoja nionge na mwenyekiti tutafute sababu, he! Umehamia VETA?
Nape:...umenichoka ee...
"Nape:We dogo hivi kwa nini Hukuniachia jimbo la ubungo?"Weka maneno kwenye picha hii
View attachment 42837
NAPE. nimejaribu kuwafanya watanzania wanielewe ila sijafanikiwa ndipo nikagundua hizi pamba mnazopiga ndizo wabongo wanazizimia,sasa ngoja nipige kama wewe.Weka maneno kwenye picha hii
View attachment 42837