Kodi ya Uzalendo
Utakuwa umeniokoa sana.Punguza kupanda mabus itabidi niwe nakukatia tiketi za mbung'o ukitaka kusafiri.
@mshana anawaambia abiria wake kuwa break hakuna jiandaeni kwa lolote
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapo tumbo la kuhara lazima likushikeNdugu abiria, gari limekata brake, ili tusimame ni lazima tuuvae mti uliyooko mbele yetu, wale wa upande wa kushoto mjiandae
UsijaliUtakuwa umeniokoa sana.
ndugu abiria gar imekatika break kwa hyo naomba msali sana
Hapa umeuwa [emoji23][emoji23][emoji23]Ndugu abiria, gari limekata brake, ili tusimame ni lazima tuuvae mti uliyooko mbele yetu, wale wa upande wa kushoto mjiandae