Weekend

Me mwenyewe naishi nanjilinji huku na kichumba changu kimoja ni kama store kila kitu ndani kwahiyo usiogope uwe na amani zote mwendokasi ndio usafiri wangu nasimamia bomba
tunazipanda wote hizo white..

Ila siku moja tutapata zetu na tuzunguka mji wote huuu.....

Cha msingi pesa ya kula na kunywa ipo hakuna tatizo kwa jiji la makonda
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…