Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Huu ugomvi unaoanzisha tafutia ulingo kwingne sio hapa kwenye uzi wa bby mzigua




Huu ugomvi unaoanzisha tafutia ulingo kwingne sio hapa kwenye uzi wa bby mzigua




Poa beira unaendeleaje jamaniMambooooooo
Na huyo hashindwi kukugandishaSawa mkuu heri umenishtua mapema.tungegandiana ingekuwa noma sana.
Ndo shemeji yangu huyu kumbe??Shemeji ako huyo kuwa ana adabh Jolie

Naona unanitafutia kesi kwa mzigua.Wa saba mkuu




kucheka watu hata nikichambwa woiiii najijua mm sijui kama nitaweza ngoja niwaige tu nione itakuwajeUkisikia ndoa ya watu inavunjika ndo leoMh mtoto gani sio mzigua tena
ee baba nifundishe kunyamaza
Yaan ungekua karibu yangu ningekuogesha mabusu sana ,you never fail to understandAsantee Putin mzigua halafu anatakiwa awadharau watu hajijui tu
Nimenyamaza cephalaudo shemeji anguBora umwambie wew
atakuelewa

Kipande cha juu nitumie pmIssa Weekend.![]()
DaaaaaNimenyamaza cephalaudo shemeji angu![]()
Nashukuru umenisaidia asee.nilikuwa nasikia story tu za kugandiana ngoja nikae nae mita 100 kama kituo cha kupigia kuraNa huyo hashindwi kukugandisha
Hahhahahah Putin ulikuwa hutaki kabisa mazoea anayokuletea ya ukaka ukaka huo vipiiiiiUmenielewa kabisa ninakila sababu ya kusema you are such a woman ambaye you always think outside the box .
Yaan namaanisha ukisema kitu na kukisimamia una sababu nzuri nyuma yako , ivo usishangae hata ukiwa ktk intavyuu macho yotee yawe kwako, naninahisi wewe unakila sababu yakulipa jua sababu ya kwann linapaswa kuchomoza .
Naona unaulizia jinsia ya jamaaNini tena mkuu
Hapana ujue mzigua ndugu yetu ebu tuambie ili tujue mapungufu ya shemUkisikia ndoa ya watu inavunjika ndo leo![]()
ee baba nifundishe kunyamaza
![]()
African chemistry haijawahi kushindwaNa huyo hashindwi kukugandisha
Kama unatumia njia ya maswali km haya huwezi kuja kutongoza ukampata mwanamke.Kwanini binti mzuri kama wewe unafanya hivi??
Nimekuelewa mnooo ndio mana huwa nampa makavu yake dharau watu ukiona anakusema au vipii achana naye endelea na mambo zakoYaan ungekua karibu yangu ningekuogesha mabusu sana ,you never fail to understand
Umenielewa sana yan .
MkuuKwanini binti mzuri kama wewe unafanya hivi??