Weekend Story! Bigger Levels, Bigger Devils

Weekend Story! Bigger Levels, Bigger Devils

Lara antidote ujue inashida sana usipopata huu uraibu mmmh hilo hogo la jang'ombe liachie kidogo
 
Jamaniiii! Nimerudiiii! Niliumwa mwenzenuuuu msicheze na migonjwa ya kuzoa zoa nchi za watu haisikii dawa za nchini humu. Nashukuru Mungu aliejuaa sasa nimeponaaa kabisaa kabisaaa. Mkae mkao wa kuingia 2018 na dude hiliii taratibuuuuuu! Kwa hasira naanza usiku huu huu
 
Jamaniiii! Nimerudiiii! Niliumwa mwenzenuuuu msicheze na migonjwa ya kuzoa zoa nchi za watu haisikii dawa za nchini humu. Nashukuru Mungu aliejuaa sasa nimeponaaa kabisaa kabisaaa. Mkae mkao wa kuingia 2018 na dude hiliii taratibuuuuuu! Kwa hasira naanza usiku huu huu
We mwanamke nakupenda sema story zako zinakuonyesha jinsi ulivyo nikitaka kukupm napata woga aseee.
 
Jamaniiii! Nimerudiiii! Niliumwa mwenzenuuuu msicheze na migonjwa ya kuzoa zoa nchi za watu haisikii dawa za nchini humu. Nashukuru Mungu aliejuaa sasa nimeponaaa kabisaa kabisaaa. Mkae mkao wa kuingia 2018 na dude hiliii taratibuuuuuu! Kwa hasira naanza usiku huu huu
Pole jaman bebe, nilikumiss mwenzio
 
Mr. Glasses!

Najua ndugu wasomaji hamjanifahamu vizuriii sanaaa, mimi ni nani na natokea wapi wala naelekea wapi, hayo machache mnayoyajua kuhusu mimi na uhakika yana wavunjeni moyo, hata mimi ndugu msomaji nishavunjika moyo mpaka basiii, mpaka nimechoka kuvunjika moyo, nimebakia kukakamaa moyo.

Umri huu bado natafuta mchumba kweli kweli ndugu msomajiii? Kweliii? Hahahahaaa! Usione ukadhani. Na kinyume na mambo alionisema Nadya mimi si mbaya well ukiacha miwani hii nayovaa tena lense kubwaa hasaa sioni vizuri wala sio uongo naukaribia upofuuu mjue. Bila miwani hata chooni sifiki.

Kiufupi tu mimi ni Average Joe, X seminarian. All my life all i wanted was to serve God on the alter by becomming a priest. Nimesoma seminary sanaaa maisha yangu yooote nimemalizia seminary. Nimepata madaraja ya kiroho mpaka daraja la ushemasi, tena shemasi wa shirika, bora jimbo unaweza kuchakachua ila shirika ni kazi nzitooo sanaaa.

To be honest mimi kwetu niko peke yangu, mtoto mmoja wa dawa kwa baba na mama. Sasa njia nilioichagua kiukweli haikwenda vizuri na mzee wangu, maana alikuwa mfanya biashara mwenye uwezo sanaa, na lengo haswaa la kunipeleka seminary ni nikanyonye tu ile elimu na descipline afu baasi baadae huku nije kuchepukia kwenye vyuo vya kawaida. Mwenzie nikanogewa.

Tukaanza kuwa na mawasiliano mabaya siku mpaka siku, ikafika stage anatishia kuniachia laana kama nisiporudi kuendeleza ukoo, sio lazima kila mtu awe padri, wengine waliozaliwa 10 kwao wataenda mimi nibaki muuni, nikishindwa basi hata mlei au padri muhuniii anachotaka nizae watoto baaas uzao wake uendelee. Mmmmmh!

Everything baina yetu took a toil on my moms health, akafariki na pressure. With mother gone mzee nae akawa kama kavurugwaaa vibaya mnoo. He was beyond disapointed kwa kweli and you wont belive he blamed me for moms passing. Msibani hakunisemesha kabisaaa kabisaaa. Na akatangaza luacha dini kabisaa na kuacha wosia akifa asizikwe na padri wala shemasi wala katekista wala nini. Yeye ni mpagani. Na anasema kabisa nikifa silaumiwe mtu wala ugonjwa ila mwanangu Leonard ndo mchawi wanguuu.

Ukoo ukakaa na kuniita na kuniambia sio lazima umtumikie Mungu kwa kuwa padri, unaweza kumtumikia kivingine. Mzee wako hayuko vizuri na Mzee ndo mungu wako wa duniani unaemuona unamfanya hivooo unategemea nini kwa mfanoo? Fanya urudi. Na bora urudi mwenyewe maana sidhani kama utapewa daraja hilo na hii beef na mzee sidhani sababu hajaridhia. We rudiii, huyu mzee ana miaka mingapi kwani? Akitangulia dunia yako chaguo ni lako utarudi tena ulipoishia.

Sikukubali kirahisi kabisaaa hilo swalaaa. My mind was set and thats it. Mimi ni mtu wa msimamooo msinichukulie poa, nikiamua kitu changu nimeamua. Hamuwezi amini wakani extend duration ya ushemasi nikasema sitokiii humuu ngo mara 3. Then it struck me hawatokaaa wanipe daraja la upadrisho. The Roman bureaucracy. Kwanza mzee acha ji declare mpagani hivo na mimi tayari mtoto wa mpagani. Nilivurugika sio kidogooo.

Nikaanza kuwa mlevi na mkorofiii shirikaniii. Sihudhurii ibada wala nini, nakunywaa, naongea nachoataka against kabisaa na nidhamu za mission. Sisali. Walinivumilia cause they felt sorry for me somehow. Final straw was kuanza kuikosoa bibilia na question misingi mizima ya Vatican. Hayawi hayawi yakatimia ikaja barua kutoka Ujerumani kwenye makao makuu ya shirika letu kwamba wanasikitika kuniterminate, na wana ni strip all tittles nilizo earn kwa kosa la continuous blasphemy, detoriarating faith and showing signs of pagan ideologies. Wakanishukuru kwa muda wote na kunitakia maisha mema.

Niliumiiiiaaa rohoooo, niliumiaaaa, niliumiaaaa. Kuna mda unajiambia uko tayari kwa jambo flani afu likitokea unajua hukuwa tayari hata kidogo, hata robo ya matayarisho hukuwa umefikaa. Cha ajabu baada ya hio barua, sikufanya fujooo kama ilivotarajiwaaa, sikulewa siku hiooo mpaka wakahisi au naenda kujinyonga nini. Nilitakiwa by kesho saa 4 nisionekane tena eneo la mission.

Sikuwa na vitu vingi ,aana kwa kuwa shemasi tayari nilikiwa nashindia zile kanzu. Kesho nikaamka asubuhi, na kuingia kanisani wakwanza kabla ya misa ya alfajiri na kusemeza na Baba yangu aliejuuu. Inshort nilienda kuaga maana nilisema mimi kwenda tena kanisaniii sio mimi. Na sijaenda mpaka leo hiii. Napita tu nje. Ila Mzee sikuhizi ndo kila siku anaenda kanisani kila siku iendayo kwa Mungu kutubu na kuomba msamaha kwamba amekosa sanaa kunikatalia kumtumikia Mungu maana kama kakosa vyote vile. Ananomba mpaka namuhurumia.

Saa 4, nikamfata baba mlezi wa shirika na kumuaga, akajitahidi kuwa modest haya maisha tu, mambo yanatokea, nisimuache Mungu mifano ya biblia kede kede na kwamba kama imeshindikana shirikani still naweza kuwa padri kupitia jimbo nisikatishe ndoto hizo. Nikamwambia niko tayari kurudi uraiani. Kuna maisha nje ya mission. Akamwambia dreva anipeleke mpaka kwetu ahakikishe ananikabidhi kwa mzee.

Kumbe nae washampa taarifa, nikamkuta, nikapita sebuleni nikakaaa kwenye kochi, tukaka kama masaa ma 3 hatusemeshani. Akapiga simu zake, akaja binamu yangu akaniambia naenda mjini mtalaa hapa na cousin wako. Nikamsikia anamwambia he looks suicidal usimuache peke yake hata sekunde moja, akienda chooni uhesabu dakika akichelewa vunja mlango.

Cousin ananiuliza eti Leo unataka kujiuaaa? Usijiue wala nini mwanangu kuna mademuuuu wakali mtaani ni balaaa! Niamini mimi mwanao kule ulikuwa unajipotezaaa tu. Huku ndo mambo yoteee. Mademu wamepindaa hata ukitaka makalio wanakupa bureee si ndo mambo yenu seminary? Mimi nikabaki namtazama tu, sikuwa na la kusemaaa. Niseme nini ndugu msomaji na ndo kwanzaaa nawasili ghomoraaa na sodoma.

Akaleta bia 2 pale basi ananisimua it was more like anaongea mwenyewe but he didnt care, anaongea tu endless. Katika story zoote alizoongea hakuna yenye akili wala manufaa hata nukta. What i learned he was wasting his life on boose and women and it looked like we could be friends. Very good friends. Nikataka kusema kitu but i just couldnt.

Akaniambia mwanagu twende tukakiwashe ndo midaa yenyewe hiii. Mi nikanyanyuka tu kumfata nyuma. Tukaanza bar kwanza kila mtu anamjua cousin. Tukagidaa maji pale, kukawa na watoto wazuriii wazuriii wabichiiii teke teke afu wenge kinomaaa. Akanipa mmoja wa kukata kiu kwanza.

Baadae ananiambia cousin we umetoka seminary leo huna hata 100, hapa vyuma vimekazaa hela ya room 2 mi sinaaa, sisi wote wanaume kama vipi nachukua chumba kimojaa tunalala wote wa 4 humo humo we na wako na mie na wako. Design nikimuelewa wako zaidii au ukimuelewa wangu collabo pia ruksaaa. Kiukweli nilitaka kukataaa katu katu, dhambi kubwa sanaa hizoo. Jamani kufukuzwa seminary sio kufukuzwa peponiii, nisingewezaaa. Ila sasa sina kaulii. Yaani siwezi kuongeaaa. Sio najifanyisha siweziiii. Nimekata kauli. Nikabakia tu natingisha kichwa. Cousin ananiambia kumbe we padri firauni tuuu ndo mambo yako hayaa hata kukataaa na kukemea unabakia kutingisha kichwa kama msengery baridi tu. Kwanza ushawahi kufanya haya mambo usije nitia aibu? Nikatikisa kichwa sijawahi! Akasema bwanaa weeee kipofu hakosei mdomo wake hata siku moja utachomekaaa tu huko huko mbele kwa mbele. Mradi ulifanyiwa sunnah yatajiset ukielemewa nipo nitakusaidia, nihimili mpaka wanawake wa 3 nini wa 2. Nalipia chumba usinizingue ujue.

Alivoenda kulipia chumba tu nikapata mwanya na kutoroka nafika nje nakumbuka funguo anazo yeye, na nauli sinaa. Pesa zipo kwenye begi. Akaja akanikuta kwenye gari nje nangaaa sharubuuu. He was concerned. Mwanangu wewe una miaka 34 hujawahi tia demu ujue sio kitu kizuri kabisaa, najua una kitete, umeruka stage nyingi sana za maishaaa, una mambo mengi ya ku catch up ndo maana mimi nduguyo sitaki uharibikiwe najaribu kukupa course crush progrm. We jikaze twende yule demu nimekupakwa kadogo dogo mwili wake haukutishiiii, afu katundu katasimamia show yoote, wewe usimuoneshe hujuihaya mabo pitamo tu humo humo. Isitoshe mi nipo hapo hapo chumbani siwezi kukuacha uadhirikeee. Wasi wasi toa. Akanishika mkono twende wale mademu wako room tayariii.

It was my first time kiukweli, wako watumishi hawajibani wanajilia vinono ila sio mimi. Nimefika mule nawaza nitaweza kweliii mimi? Maana nasikia mambo ya kilele, uvinza, mambo mengii na kote huko mimi mgeni afu niko na pro lenyewe la umaluuni pembeni au kama vipi nideseee kwa mzee baba? Kichwa ikawa inanienda race.

Nimefika vitoto viko bwaxxx na cousin kavipasulia kete za cocaine visha sniff vimemependezaje sasa hatariii tupu. Dushe na K ni smaku za hasi na chanya. Mpaka naingia cousin alikuwa ananifosiii tu. Ila kuwaona wale watoto wako uchi mwenyewe nikaingia kingi. Nikaanza kuwaza hata mimi kuwala wote sio ishu wala nini. Nawamudu vile vile. Cousin akaniambia we mgeni hapa chagua wa kwanza. Nikwaangalia wote wako level! Mmoja ana churaaa ya hatariii. Nikawaza nisijfunze kuendesha na semitrella ngoja nianze na kibasmat kwanzaa. Nisije kuvunja engine buree kungangania mizigo mikubwa.

Kilichonipa comfidence mtoto yuko bwaxxx na yuko alostooo hawezi kuona flop zangu, bonge moja ya uwanja wa mazoezi. Mtoto mwenyewe anajiongeazaa, sikupata tabu kwa kweli kabisaa. Sema nimepiga show moja tu na kuonja ladha ya dunia, kikazimaaa kitoto. Pombe na unga vilimzidiii. Cousin ananiambia endelea kivyako ila sikuwezaaa.

Tumerudi nyumbani asubuhiii hoiii, mwepesiiii kama sio mimi. Nilivo mjinga nika fall in love na yule malaya hamuwezi amini. Nikawa na mipango nae kibaoooo. Nikaamua kabisaa nimuoe nimfanye mke kabisaa. Nizae nae kabisaaa. Hahahaaa! Kuonja uchi tu kosaaa. Bado nikawa siwezi kusemaa.

Asubuhi cousin anajibizana na mzee ndo nini kukesha mpaka asubuhi? Anamwambia huyu Leo anataka kujiua uncle mimi nampoteza maawazooo. Bado yuko mission ujue, sasa ndo namsahaulisha maisha yale. Wewe sio ujilalamshe uncle tumiminie pesaaa, tulewe zaidiii na kulala ziaidi na wanawake wengi zaidiii mi nakwambia uncle wiki ndefu utaletewa mimba kama 10. Mwenyewe utakuwa humtakiiii huyu mwanao kwa kuzaa. Baba akajaa na kumpa kitita cha pesaa.

Mi naona mida haifikiii kwanza nikamuone yule mrembo, nimuulize jina lake, nige nae story, nimjue ni nani, tena nimrudishe kwenye mstari aache unga na pombe. Kufika nikakuta yuko na mwanaume mwingine, nilipanic sio kwa uchi wa jana. Kusema siweziii. Nikachukua simu na kuandika meseji kwa cousin, namtaka yule yule mwanamke wa jana. Cousin ananishauri achana nae, kwanza hana nyamaa, wa nini, hawa wote malaya tu hawana tofautiii. Natikisa kichwa tu. Cousin akachukiaaa, ila akaamua kwenda kwa yule mwanaume kumpandia dau aturudishie malaya wetu. Uzuri pesa si alipewa na mzee. Mwanaume kataka laki 5 ndo amuachie yule demu. Lumbana lumbana mwisho akapewa tu hio pesa. Demu anajionea sawa tu.

Hamjui roho yangu ilivofurahi kupewa yule demu. Niko nae chumbani namuona kama malkia vile. Nikamuandikia kwenye simu unaitwa nani? Akajibu Ziada. Likanijia swala dini tofauti nikakumbuka kwanza mimi mpagani. Akaniandikia sms kwani wewe bubu na kiziwi? Nikamjibu hapana ila siwezi kuongea kwasasa naumwa. Akauliza unaumwa nini? Nikamjibu nimerogwa cause sikuwa nanjibu logical. Akasema nikiongea unasiki? Nikamjibu ndio. Basi namuandikia swali ananijibuuu.

Show ikaanza babake mwanafunzi goi goi vs professional changu. Hapo asha snort unga wa kutosha. Akajaribu kunikaribisha na mimi nikamwambia naumwa. Raha nilizokuwa nakumbuka jana cha mtoto. Za leo siju tamu zaidiii. Mambo yalinogaaa sanaaa. Nikasema hapa hapa namwambia kama vipi nimuoe tuuu niwe napata kutwa mara 10.

Kabla sijamuomba kumuoa hapo tushapiga round kama 4 tuko hoiii, akasema ningekuona wewe mapemaa ningekupenda wewe na tungeoana ila tumechelewa kujuanaa, nishachukuliwa. Khaaaaa! Sikuelewaaa. Nikamuuliza mbona unajiuzaa kama umechukuliwa? Akaniuliz mbona na wewe unanunua malaya kama msafi sanaaa. Nikajikosha kumuandikia sio kwa ubaya, mi nataka nikuchukue nikubadilishie maishaa.

Akasema haiwezekani, tumekutana mda mbaya. Na snort sanaa coke ili nipate nguvu ya kufanya hayaa. Mimi mtu naejielewa hatarii sema maisha tu yamenila kibogaaa. The love of my life baba wa mwanangu kafungwa jela SA kwa kesi ya unga, najiuza uza nipate hela nikamlipie fine atoke. Tunapendana sanaa, sanaa. Tuna mtoto mmoja wa kiumeee. Akachukua simu ananionesha picha zao.

Nilirojeka maini yoote. Kupenda kulikula kwanguuu. Mambo ndo nimeyajua afu ugumu ndo kuanza hapo hapo aaaaaaaah! Sikuwa na hamuuu kabisaaa. Kesho nikamwambia cousin kile kiwanja tusiende tenaaa. Sitaki kumuona Ziada. Sitakiiii. Akasema usiwaze viwanja vipo vya kutoshaaa.

Nilibadili wanawake kama wa 4 ila hakuna kama Ziada, hakunaaa. Nikaanza kupata uchizi nikiwaza mwanamke naemtaka anajiuzaaa. Afu bei che tu. Nikajikuta namfata pale, akafurahi kuniona mteja wake akasema sijakuona mda. Ashanijulia siongei. Ananipa simu niandike. Nikaingia nae chumbani japo haikuwa nia yangu kabisaa. Nikala na mzigooo kwanza. Baadae nikamuuliza kwani mzazi mwenzio anadaiwa bei gani huko SA. Akasema $10,000. Nikamuuliza unazo ngapi? Akasema anazo $3000 bado 7000 na nauli na nini kama $8000.Nikarudi home sikumwambia cousin kama nimeenda kwa Ziada wala nini.

Kesho asubuhi nikamkuta mzee anakunywa chai, nikataka kumuandikia sms naomba pesa, nikahisi sauti imerudi. Nikamwambia tu kwa mdomo naomba pesa kidogo. Akasema bei gani nikamwambia $10,000. Akastukaa za nini? Nikamwambia nataka nifanye business moja. Akaniambia niandikie mchanganuo kama iko viable nitakupa we mwanangu siwezi kikunyima. Nikawaza fasta fasta nikamwambia kama hunipi leo hii hii mguu mguu kwa bank basi najiua. Ijue nguvu ya uchi. Akatetemeka. Akasema sawa nakupa twende bank ila hio biashara jioni nataka kuijua. Tukaongozana bank, akanitolea na kwenda kwenye mambo yake. Sababu ni $ sio bulk kama tsh. Nikaziweka kwenye bag la mgongoni na kwenda kwa Zidah!

Nikampigia simj kwanza akapokea na kumwambia mimi yule kaka wa jana, akasema yule kaka bubu bwana hasemi we utakuwa binamu yak mfilajii nishakwambia michezo hio sitakiii wafanyie hao hao. Haaaaa! Nikamwambia zidah ni mimi bwanaa. Nimepona leo. Akasema sababu umeniita Zidah ni wewe yule mfilaji shule hajaenda anaita Ziadaaa. Njoo nimekumiss dear, hata usinilipe tupige tu story nitakupa bonus match. Walau you care abt me tofauti na wengineo wote. Nikamwambia njoo hotel ya mjini.

Akaja nikala kwanza mzigo na kumpa ile pesa. Alidataaa akaliaa machoziii. Naenda rehab mimi naacha unga, naacha pombe hakika Mungu nimeuona uso wako. Mteja wa kunichukua mimi kahaba anipe $$$8000? Mungu huyu ni wewe umjidhihirisha kwamba hujatuacha. Kajimimina hatariiii. Akajiapiza kuzilipa zile pesaa. Nikamwambia sio deni just want you to be happy with the love of your life and your son. Alilia mda mrefu sanaa.

Akaaga na kwenda south week hio hio. Story ikasambaa mji mzimaaa. Leo kamhonga malaya $8000 nikawa nasakwaaa mimi kama kaka kuonaaa. Story zikafika kwa mzee. Hakusema kitu zaidi alioga na kwenda kanisani misa ya kwanza after so many years za kujitangaza mpagani.

Zidah akanitumia picha yake mtoto na basha wake washamtoa jela. Akaniambia wanaenda Botswana kujaribu maisha kwanza. Nikawa nimebaki huku mpweke. Bado nampenda Zidah. Huku nimewekwa most wanted man katika malaya wote wa Arusha. Cousin akaniambia twende Dar. Kuna tenda nimepata ya u contractor kule nitakaa hata 2 years tukaliamshe dude.

Haoooo mpaka Dar, chama la wana ndani ya dsm.
 
Nadya One Night Stand!

Nikiwa nimekaaa pale kwa Vivi na shemela Mjeda. Mjeda is one of a kind man ambae ananifanya na envy kuolewa. The way he treats his wife, meeein, inanifanya nijione sina bahati kabisaaa. Those two were ment in heaven. Daaaah! Kama una stress zako unaweza kuamua kunywa tu sumu ukikaa sana na hizi mtu 2.

Can you imagine with all his money, mjeda anaosha vyombo like its nothing, anapikaaa like its nothing, hawa wajinga wanapendana jamani tuacheni masiharaaa kabisaaa. Ndo maana Vivi akiniambia Nadya you are lonely i feel the pinch cause nikiji compare nae naweza shikwa uchiziii.

Vivi kuni block katika vilivoniuma ni pamoja na kushindwa kuja kuja pale kumuona mjedaa. I wished i saw him in uniform. Yuko fit mtu flani wa mazoezi bado ame retain structure yake ya jeshini. Yaani mjeda angekuwa wale wanaume macho juu juu hakiiii nawambia wasomaji ningepita nae. Walau hata kuonja tuuu.

Kama mshenzi basi ushenzi wake anafanyia mbali kabisaa na mkewe. And he is good in his game, maana kwa sisi majirani na marafiki he hardly notices anything or anyone other than mkewe. Kunakuwaga na beach party tunavaa bikini hizooo, ingekuwa hiari yetu vikamba vile tungevitupilia mbali tubaki waziii tu mradi atuone walaaa hana mdaa.

Na sio mimi peke yangu ndugu msomaji nae jitongozesha kwa mjeda woote mpaka Dr. Stella mpaka mchepuko wa waziri, mpaka mwaija hiiiii mnashangaa nini. Dr Stella siku hio anapiga story ingekuwa kama wazungu kwa mfano tu jamaniii tuna swap partners mimi ninge swap na VIVI. Moyoni tunasema nyoko zako huna lolote unamtolea mimate mjeda kikongwe maluuni wewe tulia hapo hapo na mumeo mmetoshana.

Basi nimeenda pale, shemela mjeda anasema Nadya kitambo sanaa nini mbaa mami huji kutuonaa? I was concerned nikasema nikupigie simu ndo mama akaniambia leo unakuja. Nikajisemea nishakosea hesabuuu, bora nisingkuja mjeda anipigie mie simu nidekeee kidogo. Nikajibalaguza balaguzaa hapo uongo na ukweli. Yaani nilivokuwa nampapatikia mjedaa Vivi akigeuza mgongo ni part and parcel plan langu la ku anoy Yule mijicho mi 4. Kama mtu mzima angejiongeza mimi sio mwanamke wa kupenda wala kuoa.


Baadae tukaenda garden baada ya kula, Vivi na mumewe na mimi na mijicho mi 4. Mijicho akajiloga kuniuliza unafanya nini like kazi? Nikamwambia Nadanga danga tu mjini sina kazi ya kuelewekaaa. Hakustukaa kabisaaa na jibu hilo nikajikuta nastuka mimi kwa nini hakustuka.

Akaniuliza so una shida gani why una danga je kuna kitu maybe unahitaji kukifanya ndo kinakulazimu udange like you saving for something big, just tell me, may be able kukusaidia. Moyoni nikasema huyu bwa ashaniona na dhiki sasa ndo namtibua vuzi zotee.

Nikamwambia yes, kuna kitu nataka ndo kinafanya ni dange dange. Sishani kama unaweza kunisaidia niamini mimi. Akangangana niambie niambie moyoni nasema mbwa wewe unafikiri na shida ya laki 2, subiri utafurahia show. Nikamwambia mwenzio sina kitu kingine kabisaa kinachofanya nidange dange zaidi na zaidiiii ndoto yangu ya KUNUNUA NYUMBA DUBAI. Naendelea kumvruga vuruga vuzi zooote, you wont believe Dubai houses are eveything nakwambiaaa. Vivian na Mjeda they bough luxury appartment huko miaka sijui mingapi nyuma. I wish i wish niwe neighbour wao huko Dubai. Naji imagine niko Dubai na mume wangu na wanangu kwenye nyumba yetu ooooh my Gosh! Huuuuuuuuuuuuu! Mpaka chupi inanilowaa.

Akawa ananishangaaa like seriously ile mtoto anashangaa kitu kipyaa hajifichi wala nini. Moyoni nasema na bado shubhamit wewe nitakuchanganyia madawa mpaka upate uchizi. La Dubai mijicho imekutoka bado sijaanza ya Italy kwa muke ya Harmonise Sara Michellotti. Yaani mnajua sikuwa na muda hata wa kumuuliza yeye ani, anatokawapi wala anaenda wapi, akajambe mbeleehukooo. Mi wa kazi ganii mijicho mi 4.

Basi sijui shetani gani akaniambia wachungulie Mjeda na Vivi, mwanawaneeee nisiwakute wanafanya mchezo mchafuuu kwenye bembeaaa. Waleee waleee watu wabayaaa jamaniiii. Yaani nimekuta wana kiss ile deep kabisaaa afu mkono wa mjeda uko ikulu ya wife kalegea hatariiii.

Na mimi sijapiga show mdaaa. Nyege zilikumba kama homa ya pepo pundaaa. Mpaka mwili ukafa ganzi. Leo akaona nimeganda kuangalia kule na yeye akaangalia tukajikuta tumenasa kuangalia wote sinema la buree. Nikajikongongoja na kurudisha mjadiliano baina yetu. Nikamuuliza tu unapenda timu gani, network washangoa minara yote mjeda na mkewe. Akasema im not a fun, ila team unayoipenda wewe na mimi nitaanza kuipenda hio hio. Moyoni nikasema huyu kaka hayuko sawa, kuna nati zimefyatukaaa.

Akaniulizaa what do you like in a man. Nikatabasamu kwanza plastic smile. Namwambia i love a money that gives me money, chopps money on me, spends on me, yaani asjibane bane animiminie pesa haswaaa. Buy me luxuryous staff, take me destinations, give me life i deserve. Na hili jibu wala halikumstusha tenaa kwa mara ya pili nikastuka mimi.

Akaniuliza so if someone do that utampenda kwa moyo wako wote? Nikajimimina why nisimpendeeee, nina tatizo gani, nampenda kuliko baba yangu mzazi, kwanza yeye ndo mzazi wangu. Akauliza hivo tuu or there is more? Nikamtizama kwanza kama dakika 5 maana uchi wake ni mkubwa kuliko nilivokuwa nawaza.

La kwanza lililonijia akilini maybe this MF is facking loaded yaani ana mipesaaa kiasi kwamba hapa najichuuza tu na hizi njaa ndogo ndogo nazotangaza hapa haki ya nani. Mbona hashtukiiii. Ukute naagiza chipsi kuku kwa level zake. Mbona nimekosea mahesabu mimi badala hata nimchuuze kidogo nimjue ninani na bisu lake kali kiasi gani nimeanza kushobokaa kisengery sasa nisha jiadhiriii.

La pili likanijia huenda huyu kaka mwehuuu, sakayatric tu basiii, psychopath flani ambae bado hajaanza kuvua nguo barabarani, na mimi ndo mwehu namba 2 kwa kujichuuza kwa mwehu biashara isiokuwa na faida yoyote zaidi ya kupotezeana mda basi.

Akauliza did i say something wrong or offended you? Nikajibu hapana kuna mawazo tu yalinipitia. Mimi naenda nyumbani. Akaniomba namba yangu, nikamgea kiroho safii ila digit moja nilikosea makusudiii tu. Sikutaka hata kuwaaga wale wazee wa Kamasutra maana siku hio mechi ilikuwa itapigiwa pale pale garden. Nikana Leo angaaa sharubu kuwazindua haweziii. Nikamwambia twende unisindikize, ndo namuondoa kiutu uzimaaa.

Akanisindikiza kwenye gari langu, nikaingia nikawasha home. Ndani sijaingia Monica ananipigia nikamwambia wacha kwanza nioge shoga angu maana ni sio za nchi hii. Nimeoga namsimulia kuhusu ababa na mama walivotuwekea kamasutraa. Monica nae anataka details. Yule nao hamnazoo hamnazooo. Basi ndo nazidi kushikwa nyegee. Nikakata shauri niweke tu barafuuu. Monica ananitia ndimu muite Leo barafu za nini utapata nimoniaaa. Muite leo mburudike woote asubuhi unamtimuaa unamwambia huna hela ya nyumba za Dubai shubhamiiit. Muite Leo muite.

Vivi akapiga umefika salama, hapo ashakunwa mwepesiii ndo anakumbuka kama nimefika. Nikamwambia eeeh. Anauliza viiiiipiiii umeona kwamba Leo is a nice guy angekuwa haeleweki mimi nisingekufosi uwe nae. Wewe tu unapiga fuko la hela teke na hutaki kumfahamuuu. Mgodiii huu nakwambiaa, sio ili umchune, no uolewe nae. Imagine leo kamuuliza Mjeda kuhusu appartment za Dubai, how much they cost jinsi shoga angu navokujuaaa umemchnganya umemvuruaaa kataka kukupeleka Dubai tuishi majirani.

Nikadakia kwa hio pesa ya hizo appartment anayo au? Nikasikia Nadya mimi sijui mpaka anaulia it means he is somewhere kama sio ku afford basi kukaribia ku afford, he is friends with hubbys friend ambae ni contractor ndo tumemfahamu juzi juzi tu, kusikia hana mke nikafosi kumfahamu zaidi nikuweke shoga angu, tutajua mbele kwa mbele. Mi ngoja nitiii sheria ya ndoa huku, keep me posted.

Nikawaza mwenzangu anakunwa cha pili mimi bila bila daaaah. Simba akizidiwa anakula majani nika mtext Vivi naomba namba ya Leo. Akanitumia nikampigia akauliza nani mwenzangu ya kiarushaa kabisaa. Nikamwambia Nadya. Akashangaa mbona nimekusave unakuja bila jina. Nikamwmbia achana na hizo mambo, njoo kwangu basi. Anauliza is there a problem? Namwambia noooo, we just talk.I need to talk.

Nikamuandikia adress akaja. Hapo nimevaa g string tuuu, na juu nimetupia kimono cha kulalia. Akaja. Nikamuwekea bia pale kama sio mimi. Anauliza what do you want to talk about? Nikamtikisa tu, so you have the money for the condo in Dubai? Akaanza kubabaika nikajua hana mia mwehuuu tu huyuuuu, nyege mbayaa sanaa, napita ne hivo hivo na wehu wake.

Nikafungua kimono kwanza kumuonesha mzigo wenyewe. Anaanza nooo, i dont want us to start like this, i have plans for you,, oooooh nikamla mate pale kalegeaaa kama mlendaaa. Kasahau plans zooote. Kilichonikuta ndugu msomajiii andaa tu mbavu zakooo. Maana mambo ya aibuuu. Yaani hamnaaa kitu. 0 brain. Mambo hayawezziiiiii, hayaweziiiiii. Goi goi si goi balaa tu. Kamoja tu nikamtimuaaa sio kwa shombo alionipaka. Nikamdanganya kesho naenda kazini. Kadataaa, lazima adate manake inshort nimejihudumia mwenyewe mwanzo mwhisho.

Pesa huna, kufanya huwezi wa faida gani sasa. Mxiuuuuuu! Aliniboaaaa sio kitoto. Katoka pale nikavaa na kwenda kwanza high spirit nikatafute hata baunsa tu wa kupiga nae one night stand nimlipe basi. Niko high spirit nimewaka kinoma noma sioni hata ane nivutiii kama zali akaja kijana age yangu, kapiga saa ya bei,kiatu cha bei nikasema huyu napita naeeee iwe isiwe.

Kanitongoza kidogo tu kama kumsukuma mlevi nikajaa, nikamtega tega pale, akasema nichukue chumba hapo new Africa nikamwambia wewe tu. Tumepiga show moja ya kibabe nomaa sanaa. Mimi na wadudu wangu wa mda yeye sijui alikubwa na nini. Akaniuliza unaitwa nani? Nikamwambia Lightness. Tumepiga mechi za ki one tarameraaa mpaka niakubaliii sasa nimepona ugonjwa wa nyege.

Basi baada ya mechi ananisimulia yeye kijana bado anatafuta, moyoni nasema huyu anawaza kapata danga la kike kumbe kapatikana. Ananiambia dreams zake na ambitions, na mipango yake ya kuja kuwa mtu muhimu sanaa mjini hapa. Mi namsikiliza kama radio tu unaisikiliza kwa makini ila hutakiwi kuijibu. Huku na huku kabla hajaanza ufyoro wake wa kulia njaa kiutu uzima ashniomba namba nikawa nimempa kiroho safii kwa mechi kama ile ila alivoniboa na njaa njaa zake kunitandazia wavu nijae nijifanye nitamsaidia akanitibuu kabisaa.

Alfajiri nikatoroka nikamuacha. Saa 5 anapiga sipokei. Akatuma sms mambo Light. Nikamjibu umekosea namba mimi sio Light. Akatuma barua ndefu sanaa ya kuhuzunisha.

Haiwezekani wewe sio Light. Jana nimekukuta high spirit pale, umevaa kigauni cheusi, unakunywa Takila shots. Nikakusemesha, ukanikaribisha nikae, tukaongea sanaa, kuhusu premier league, ukasema wewe Man city, bongo wewe Simba Light. Tukaongea kuhusu mambo ya kutianaaa, mpaka nikakuuliza nichukue chumba ukasema chukua. Tukapeana raha tamu sanaa za duniaaa, sijawahi tiana na mwanamke kiutamu kama wewe, mpaka nikaanza kukwambia mambo ya maisha yangu ambayo sijawahi mwambia mtu yoyote Light. Haiwezekani wewe sio Light. Umelala kifuani kwangu mpaka asubuhi. Nalala nawaza mwanamke naemtafuta nimempata hatimae Light, ukanitajia namba yako Light nika isave. Hukuchukua yangu inawezekana vipi wewe sio Light. Light please baby usinifanyie hivo.

Hahahahhaaaaaaaa! Nilimuonea huruma ila mi sifugi mabwana mwenzenu, tena bwana siku ya 1 anatangaza njaa akuuuuuuuuu. Nikamjibu sms yake.

Pole kaka,ila mimi sio Light angalia hata Mpesa mimi ni Nadya isitoshe niko form 1, nina miaka 13 kaka angu. Natumai utampata lightness wako.

Akajibu asante mdogo wangu. Nikabakia nacheka kingereza hahahahaaaaaa! Sijakaa sawa Monica anapiga, shoga angu umeharishaa tena umehara damu. Namuuliza vipiii ananimbia shoga jana umekunya nje tena mchana peupee njia panda. JANA UMEENDA HIGH SPIRT KUOKOTA MWANAUME USIJUE LEO YUPO NA COUSIN WAKE HAPO HAPO WANAKUONA UNAOKOTA MWANAUME MPAKA UNAENDA NAE KULALA NEW AFRICA. Kaka wa watu kaumiaaa roho sanaaa. Mpaka karudi Arusha. Kamwambia Vivi shoga ako nilimpenda sanaa sanaa tena nilikuwa na mipango nae mikubwaaa. Basi tena. Shoga ndoa umeichekea chooni.

Roho iliniuma kwamba imekuwa vile ila Leo sio mume anitetemeshe atajijua mwenyewe na balaa lake la kutokujua kufanya

ITAENDELEA.
 
Kuna mda upopo wangu unanisaidiaga aiseee ......asante sana lara1
 
Back
Top Bottom