
Watu wananyoosheana koplo tu...
Wanaume tusivyopenda ukweli tutajifanya hatumuoni Leo goigoi...![]()
![]()








Pole na kuumwaJamaniiii! Nimerudiiii! Niliumwa mwenzenuuuu msicheze na migonjwa ya kuzoa zoa nchi za watu haisikii dawa za nchini humu. Nashukuru Mungu aliejuaa sasa nimeponaaa kabisaa kabisaaa. Mkae mkao wa kuingia 2018 na dude hiliii taratibuuuuuu! Kwa hasira naanza usiku huu huu
Pole mnooo dearJamaniiii! Nimerudiiii! Niliumwa mwenzenuuuu msicheze na migonjwa ya kuzoa zoa nchi za watu haisikii dawa za nchini humu. Nashukuru Mungu aliejuaa sasa nimeponaaa kabisaa kabisaaa. Mkae mkao wa kuingia 2018 na dude hiliii taratibuuuuuu! Kwa hasira naanza usiku huu huu
Tunasubir dada fananiJamani ndo nimekaa hapa fanani, na kalamu yangu naanda mkeka wa kulalia.
Jamani ndo nimekaa hapa fanani, na kalamu yangu naanda mkeka wa kulalia.
Usiku huu nadondosha episode 2
