Weekend story! BEN 10

Mwenyewe nashangaa wanavyopenda kuteleza!! Bila aibu yanasifia story kutoa Amarula hayataki.....nyie wenye mabwana zenu humu mnasoma hadithi na kutag km kote ebu muwaimize na kutoa Amarula.
 
Wanaume wengi wanaosoma hii story kina Uchebe ila usijali KLM fanya km Shishi beibe wasambazie raha tu!
 
Awa wanaume wanataka tuwataje majina eee!!!
Ndo watoe ya amarula
 
Nyani Ngabu upo baba? wasichana wanatutukana sana hapa. Tokea ulimwengu huu unaumbwa sisi tu ndio wahongaji, sasa upepo umebadilika wao ndo wanatakiwa wahonge sasa wamekuwa wakali sana. Na ww lara 1 shetani huyu wa amurula amekuanza lini? wee si ulikuwa unakunywa Serengeti wewe!!!
 
Ushawahi kwenda leba wewee?.basi endelea kula kwa jasho baba hamna namnaaa
 
Huwa sisomi kabisa ishu za huyu demu.....Dishi limeyumba kupita kiasi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…