donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,523
Hahah no mkuu leo in vino veritasLeo haujapika mkuu??? Huwa nachekaga sana ukitoa misos yako.
Weekend njema anyway
Acha izo ndio nini sasa kutiana ham
Hahah usijali mkuuAcha izo ndio nini sasa kutiana ham
Hahah usijali mkuu
Halafu ni kisababishi....!!!Hiyo kitu iko poa sana
Hahah af hii location naipata mkuunimeshindwa kuvumilia
Mmh wapi?Hahah af hii location naipata mkuu
Ngoja nivute pichaMmh wapi?
Wine ngumu sana hiii.. Sijui unaiwezaje..nimeshindwa kuvumilia
Bokisi mbili na kibapa haina shida kabisaWine ngumu sana hiii.. Sijui unaiwezaje..
Hata mie siiwezi ngumu kwenye koo balaa mpaka nilichanganya na coca ndo ikapita.Wine ngumu sana hiii.. Sijui unaiwezaje..