Week ya lala salama arumeru mashariki

OSOKONI

JF-Expert Member
Oct 20, 2011
10,965
5,336
Jumapili ijayo tutaenda kwenye vituo husika kupiga kura zetu,.Sote wana Arumeru tumesikiliza kampeni za vyama na wagombea na ninaamini tumeshafanya maamuzi.Kwa wale ambao bado hawajafanya maamuzi au wamefanya maamuzi mabaya wiki inayooanza kesho ndio fursa pekee iliyobaki.Fuatilia kampeni za lala salama na hakika mpe kura yako mgombea au chama kilichokujibu au kuwekea mkakati kero zifuatazo hapa meru!!
1.Uhaba wa Ardhi

2. Uhaba wa Maji

3. Elimu ( uhaba wa shule,kumbuka shule ya msingi usa river ilifutiwa matokea kwa sababu za kijinga sana)

4.Uhaba wa hospitali na vituo vya afya kwa meru yote

5. Barabara mbovu (kumbuka zilivopigwa greda wakati wa mvua na kutuongezea mateso kutokana na tope)

6. Ukosefu wa kituo cha mabasi hapa usa madukani

7. Hali mbaya ya soko la Usariver, Tengeru, kikatiti( wakati tunalipa ushuru)

Nakusihi sana usimchague aliyefanya yafuatayo
1. Bingwa wa kutukana, kukashifu wengine kusambaza nyaraka za kuchafuana

2. Bingwa wa kugawa kanga, vitenge, kofia, t-shirt pesa taslimu pombe na vyakula

3. Aliyekuwa chanzo cha fujo na vurugu kwenye kampeni

Jimbo la Arumeru mashariki lipo nyuma sana kimaendeleo ukizungumzia sekta zote,.Tunatakiwa wakati majimbo mengine wanatembea sisi tukimbie ilituwafikie,. tunahitaji kamanda mkakamavu wa kuongoza hizi mbio, Chagua mtu anayeyajua matatizo ya meru na amewahi kuyaisha na kupata adha yake, huyo atatusaidia lakini mtu ambaye hayjawahi kuishi meru, matatizo yetu anayasikia tu kwa watu hataweza kuongoza mbio hizi za kuyatatua,. Nawatakieni week njema ya lala salama, na hatimaye uchaguzi mzuri wa haki na huru,...
 
Jumapili ijayo tutaenda kwenye vituo husika kupiga kura zetu,.Sote wana Arumeru tumesikiliza kampeni za vyama na wagombea na ninaamini tumeshafanya maamuzi.Kwa wale ambao bado hawajafanya maamuzi au wamefanya maamuzi mabaya wiki inayooanza kesho ndio fursa pekee iliyobaki.Fuatilia kampeni za lala salama na hakika mpe kura yako mgombea au chama kilichokujibu au kuwekea mkakati kero zifuatazo hapa meru!!
1.Uhaba wa Ardhi

2. Uhaba wa Maji

3. Elimu ( uhaba wa shule,kumbuka shule ya msingi usa river ilifutiwa matokea kwa sababu za kijinga sana)

4.Uhaba wa hospitali na vituo vya afya kwa meru yote

5. Barabara mbovu (kumbuka zilivopigwa greda wakati wa mvua na kutuongezea mateso kutokana na tope)

6. Ukosefu wa kituo cha mabasi hapa usa madukani

7. Hali mbaya ya soko la Usariver, Tengeru, kikatiti( wakati tunalipa ushuru)

Nakusihi sana usimchague aliyefanya yafuatayo
1. Bingwa wa kutukana, kukashifu wengine kusambaza nyaraka za kuchafuana

2. Bingwa wa kugawa kanga, vitenge, kofia, t-shirt pesa taslimu pombe na vyakula

3. Aliyekuwa chanzo cha fujo na vurugu kwenye kampeni

Jimbo la Arumeru mashariki lipo nyuma sana kimaendeleo ukizungumzia sekta zote,.Tunatakiwa wakati majimbo mengine wanatembea sisi tukimbie ilituwafikie,. tunahitaji kamanda mkakamavu wa kuongoza hizi mbio, Chagua mtu anayeyajua matatizo ya meru na amewahi kuyaisha na kupata adha yake, huyo atatusaidia lakini mtu ambaye hayjawahi kuishi meru, matatizo yetu anayasikia tu kwa watu hataweza kuongoza mbio hizi za kuyatatua,. Nawatakieni week njema ya lala salama, na hatimaye uchaguzi mzuri wa haki na huru,...

you deserve to be called 'a greater thinker'
 
Naamini wamekusikia na watazingatia ushauri wako kwani hata sisi tusio wapiga kura wa arumeru mashariki hatupendi mrubuniwe na kampuni ya mwigulu.
 
Osokoni kula like yangu maana natumia mobile lakini umesema kweli. Naongezea wasimchague mtu mwa lengo la kumfariji ili alee familia. Wasichague mtu kwa sababu ni shemeji ya fisadi fulani na ameapa watu hata watu wafe lakini mkwe wake apite.
 
Hii ndio nafasi ya kipekee ya wana Arumeru kufanya maamuzi sahihi!Wakikosea hakuna rangi wataacha kuona!!
 
"Kuichagua CDM, ni kufikisha ujumbe kwa serikali kuwa tumechoshwa na uongozi mbovu,
Kuichagua CDM, ni kufikisha ujumbe kuwa wana-Arumeru tunahitaji maji, ardhi na miundominu inayokidhi haja zetu.
Uchaguzi huu mdogo wa arumeru ni kipimo cha akili za wameru"

By Vicent Nyerere.
 
jumapili ijayo tutaenda kwenye vituo husika kupiga kura zetu,.sote wana arumeru tumesikiliza kampeni za vyama na wagombea na ninaamini tumeshafanya maamuzi.kwa wale ambao bado hawajafanya maamuzi au wamefanya maamuzi mabaya wiki inayooanza kesho ndio fursa pekee iliyobaki.fuatilia kampeni za lala salama na hakika mpe kura yako mgombea au chama kilichokujibu au kuwekea mkakati kero zifuatazo hapa meru!!
1.uhaba wa ardhi

2. Uhaba wa maji

3. Elimu ( uhaba wa shule,kumbuka shule ya msingi usa river ilifutiwa matokea kwa sababu za kijinga sana)

4.uhaba wa hospitali na vituo vya afya kwa meru yote

5. Barabara mbovu (kumbuka zilivopigwa greda wakati wa mvua na kutuongezea mateso kutokana na tope)

6. Ukosefu wa kituo cha mabasi hapa usa madukani

7. Hali mbaya ya soko la usariver, tengeru, kikatiti( wakati tunalipa ushuru)

nakusihi sana usimchague aliyefanya yafuatayo
1. Bingwa wa kutukana, kukashifu wengine kusambaza nyaraka za kuchafuana

2. Bingwa wa kugawa kanga, vitenge, kofia, t-shirt pesa taslimu pombe na vyakula

3. Aliyekuwa chanzo cha fujo na vurugu kwenye kampeni

jimbo la arumeru mashariki lipo nyuma sana kimaendeleo ukizungumzia sekta zote,.tunatakiwa wakati majimbo mengine wanatembea sisi tukimbie ilituwafikie,. Tunahitaji kamanda mkakamavu wa kuongoza hizi mbio, chagua mtu anayeyajua matatizo ya meru na amewahi kuyaisha na kupata adha yake, huyo atatusaidia lakini mtu ambaye hayjawahi kuishi meru, matatizo yetu anayasikia tu kwa watu hataweza kuongoza mbio hizi za kuyatatua,. Nawatakieni week njema ya lala salama, na hatimaye uchaguzi mzuri wa haki na huru,...
...chagua joshua,chagua chadema ondoa mafisadi tanzania...
 
Jumapili ijayo tutaenda kwenye vituo husika kupiga kura zetu,.Sote wana Arumeru tumesikiliza kampeni za vyama na wagombea na ninaamini tumeshafanya maamuzi.Kwa wale ambao bado hawajafanya maamuzi au wamefanya maamuzi mabaya wiki inayooanza kesho ndio fursa pekee iliyobaki.Fuatilia kampeni za lala salama na hakika mpe kura yako mgombea au chama kilichokujibu au kuwekea mkakati kero zifuatazo hapa meru!!
1.Uhaba wa Ardhi

2. Uhaba wa Maji

3. Elimu ( uhaba wa shule,kumbuka shule ya msingi usa river ilifutiwa matokea kwa sababu za kijinga sana)

4.Uhaba wa hospitali na vituo vya afya kwa meru yote

5. Barabara mbovu (kumbuka zilivopigwa greda wakati wa mvua na kutuongezea mateso kutokana na tope)

6. Ukosefu wa kituo cha mabasi hapa usa madukani

7. Hali mbaya ya soko la Usariver, Tengeru, kikatiti( wakati tunalipa ushuru)

Nakusihi sana usimchague aliyefanya yafuatayo
1. Bingwa wa kutukana, kukashifu wengine kusambaza nyaraka za kuchafuana

2. Bingwa wa kugawa kanga, vitenge, kofia, t-shirt pesa taslimu pombe na vyakula

3. Aliyekuwa chanzo cha fujo na vurugu kwenye kampeni

Jimbo la Arumeru mashariki lipo nyuma sana kimaendeleo ukizungumzia sekta zote,.Tunatakiwa wakati majimbo mengine wanatembea sisi tukimbie ilituwafikie,. tunahitaji kamanda mkakamavu wa kuongoza hizi mbio, Chagua mtu anayeyajua matatizo ya meru na amewahi kuyaisha na kupata adha yake, huyo atatusaidia lakini mtu ambaye hayjawahi kuishi meru, matatizo yetu anayasikia tu kwa watu hataweza kuongoza mbio hizi za kuyatatua,. Nawatakieni week njema ya lala salama, na hatimaye uchaguzi mzuri wa haki na huru,...

you are the master of the conquired land and you deserve 2b respected as a great thinker!!,WARNING CHADEMA IS THE ONLY AND GOOD POLITICAL PARTY TO CHOOSE.Chadema ndo mpango mzima wana arumeru mashariki acheni kudanganywa na mafisadi kama enzi za ukoloni.Nawakubali wameru na naamin tutafanya maamuzi magumu hapo tarehe 1 april 2012 yan jmapil,piga kura linda kura yako mpaka kieleweke!Thanks.
 
Back
Top Bottom