Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,831
wazungu ndio magwiji wakubwa wa fani hii ya ulozi, wakifuatiwa na wachina kisha wahindi. Waarabu na majini yao wanafuata kwa mbali sana. Waafrika ndio wa mwisho kabisaKumbe na wazungu wanawanga kibongobongo?
Sisi tunatumia fisi, wao farasi
Nimecheka sana hadi jirani kaja kushangaa kinachonifanya niwehukekweli uchawi ni umbumbumbu mtoto mzuri badala ya kumchapa nao lenyewe linampandia tumboni.
Mbuzi Mzee, kitu kimekuja chenyewe. Mi sielewi kati ya "mbunye" na kukalia tumbo kipi raha na kitamu?Mkuu umeleta picha tamu sana Mkuu
Umeona ehh.... kweli tunatisha kama nyama ya paka mweusiAfrican megic! kweli tuko juuuuu!!!
Kumbe na wazungu wanawanga kibongobongo?
Sisi tunatumia fisi, wao farasi
Mkuu, umejuaje kwamba huko ndiko kuwanga? Funguka kidogo, maana hii fani wengine hatuna!
Yaani hata ku 'gugo' waona uvivu?
Kugugo si tatizo mkuu. Hofu yangu ni kuparamia mengi kwa mpigo bila kufuata syllabus!
Nimecheka sana hadi jirani kaja kushangaa kinachonifanya niwehuke
Bujibuji, hilo ni jinamizi linamtesa huyo mama, nadhani hata wewe ulishatokewa na kitu kama hicho ukiwa umelala. kila ukitaka kuamka unahisi kuna mtu ama kitu kinakukandamiza kwenda chini. kila ukijaribu kutoa sauti, haitoki. ndiyo hivyo sasa.Mbuzi Mzee, kitu kimekuja chenyewe. Mi sielewi kati ya "mbunye" na kukalia tumbo kipi raha na kitamu?
haswa ukizingatia umetangaza kuokoka walijua tayari mapepo yameanza kazi yeo