Wee Ufoo Saro, Mwageni ni Professor sio Bwana

Wee Ufoo Saro, Mwageni ni Professor sio Bwana

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,341
Reaction score
15,831
Kwenye taarifa ya habari sasahivi Ufo Saro baada ya Kumtaja Prof. Ndalichako kuzungumzia wanafunzi feki wa vyuo vikuu alimtaja pia Prof. Mwageni (katibu mkuu) lakini akamtaja kama Bwana Mwageni.
Wewe Ufo Saro ohoooo angalia sana huyo ni Professor pia sio Bwana.. Ndio maana hata kadi za harusi zinatenganisha Bwana/Dr na Professor....uwe unauliza. Na kwa taarifa yako hii serikali ya Magu hao wakubwa wengi wao kama sio Dr. Basi ni Profesa... Ila tu usije ukakariri hadi ukasema Profesa Nape ohooo.....

Hiyo ni kwa taarifa yako
 
Hapo kwenye kadi za harus neno prof ni kudraw attension ya mtoaji hili atoe mzgo kidgo mzto
 
Kwenye taarifa ya habari sasahivi Ufo Saro baada ya Kumtaja Prof. Ndalichako kuzungumzia wanafunzi feki wa vyuo vikuu alimtaja pia Prof. Mwageni (katibu mkuu) lakini akamtaja kama Bwana Mwageni.
Wewe Ufo Saro ohoooo angalia sana huyo ni Professor pia sio Bwana.. Ndio maana hata kadi za harusi zinatenganisha Bwana/Dr na Professor....uwe unauliza. Na kwa taarifa yako hii serikali ya Magu hao wakubwa wengi wao kama sio Dr. Basi ni Profesa... Ila tu usije ukakariri hadi ukasema Profesa Nape ohooo.....

Hiyo ni kwa taarifa yako
Nilikuwa sijakutana na mtoa mada MPUMBA-VU na mjinga kama wewe!
 
Kwenye taarifa ya habari sasahivi Ufo Saro baada ya Kumtaja Prof. Ndalichako kuzungumzia wanafunzi feki wa vyuo vikuu alimtaja pia Prof. Mwageni (katibu mkuu) lakini akamtaja kama Bwana Mwageni.
Wewe Ufo Saro ohoooo angalia sana huyo ni Professor pia sio Bwana.. Ndio maana hata kadi za harusi zinatenganisha Bwana/Dr na Professor....uwe unauliza. Na kwa taarifa yako hii serikali ya Magu hao wakubwa wengi wao kama sio Dr. Basi ni Profesa... Ila tu usije ukakariri hadi ukasema Profesa Nape ohooo.....

Hiyo ni kwa taarifa yako
Ulimbukeni tu,ukiwa profeasor unaweza kuwa hata mwanamke,kutaja bwana amemtendea haki kabisa
Kama mtu hamfahamu Ndalichako,ukimuita professor Ndalichako anaweza kudhani kuwa ni dume kwa kuwa Ndalichako ni ubini wake,lakini angesema bibi ndalichako kwa mtu asiemfahamu moja kwa moja atajua ni mwanamama
Utambulisho ukianza kwa jinsia ni vizuri sana kuliko kwa Elimu
Hivi ukisema professor Kahyararara utajua ni he au she?
 
Kwenye taarifa ya habari sasahivi Ufo Saro baada ya Kumtaja Prof. Ndalichako kuzungumzia wanafunzi feki wa vyuo vikuu alimtaja pia Prof. Mwageni (katibu mkuu) lakini akamtaja kama Bwana Mwageni.
Wewe Ufo Saro ohoooo angalia sana huyo ni Professor pia sio Bwana.. Ndio maana hata kadi za harusi zinatenganisha Bwana/Dr na Professor....uwe unauliza. Na kwa taarifa yako hii serikali ya Magu hao wakubwa wengi wao kama sio Dr. Basi ni Profesa... Ila tu usije ukakariri hadi ukasema Profesa Nape ohooo.....

Hiyo ni kwa taarifa yako

hivi unajua kwamba Obama ni professor??

umewasikia akiwa addressed kama prof kwenye media?
 
Back
Top Bottom