Wedding-The world is ending

Wedding-The world is ending

Evmem

Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
95
Reaction score
12
Harusi hiyoo dunia imekwishaaa!
 

Attachments

  • image001.jpg
    image001.jpg
    40.1 KB · Views: 210
  • image002.jpg
    image002.jpg
    42.7 KB · Views: 231
  • image003.jpg
    image003.jpg
    43 KB · Views: 302
  • image004.jpg
    image004.jpg
    44.1 KB · Views: 793
  • image005.jpg
    image005.jpg
    48.7 KB · Views: 189
  • image006.jpg
    image006.jpg
    52.7 KB · Views: 172
  • image011.jpg
    image011.jpg
    37.5 KB · Views: 132
  • image014.jpg
    image014.jpg
    40 KB · Views: 140
Duh,kama kweli kweli dunia imeisha aseeeee.............so soon hiki kitu kitatua tz,tunavyopenda kuiga!!!!!nchi gani hiyo mkulu..
 
It might be disturbing to many to see, lakini dunia haiishi kwa dhambi au maamuzi ya wanadamu, tusubiri kimondo au gharika kuu nyingine!!! Homosexuality imekuwepo zaidi ya miaka 2000, refer to your Judea-Christianity teachings, Sodom and Gomorrah to be precise!!!
 
Hii ndoa ni ya kanisani au kiserikali?Inatisha!
 
Duh,kama kweli kweli dunia imeisha aseeeee.............so soon hiki kitu kitatua tz,tunavyopenda kuiga!!!!!nchi gani hiyo mkulu..
Mkuu avatar yako inatisha, kidogo nianze ku-run anti virus aisee... anyway. Hayo mengine ni ya kawaida tu... Utamu wa embe ajua mnyonyaji. kila mtu na vyake.
 
Mkuu avatar yako inatisha, kidogo nianze ku-run anti virus aisee... anyway. Hayo mengine ni ya kawaida tu... Utamu wa embe ajua mnyonyaji. kila mtu na vyake.

Wewe unaona sahihi mwanaume akisukuma/akisukumwa mavwi?.....Tena haushangai, unaonekana mzoefu dah!..lolz!
...just a joke!
 
Wewe unaona sahihi mwanaume akisukuma/akisukumwa mavwi?.....Tena haushangai, unaonekana mzoefu dah!..lolz!
...just a joke!
Sioni kawaida ila kusema ukweli nimesha sikia sana kuhusu haya mambo na sijawahi kutana na mtu akanambia he could change it by critics. Kama unadhani sio sawa either u tell THEM or you keep it to yourself. Sisi ndio tunabaki na uchungu (plus kinyaa) wenyewe wanafurahia tu na wanaendelea na maisha yao. what is the point?
 
Mungu wa Mbinguni aliyetuumba wanawake na wanaume atunusuru sisi na familia zetu!
 
Sioni kawaida ila kusema ukweli nimesha sikia sana kuhusu haya mambo na sijawahi kutana na mtu akanambia he could change it by critics. Kama unadhani sio sawa either u tell THEM or you keep it to yourself. Sisi ndio tunabaki na uchungu (plus kinyaa) wenyewe wanafurahia tu na wanaendelea na maisha yao. what is the point?

Mila za kiafrika Na hata Vitabu vya Dini za kigeni vinatushauri KUTENGANA NAO KABISA. Sku moja niliingia unisex saluni moja; ndani nilikuta wadada kadhaa na kijana mmoja mtanashati tu, Nikawa nafanyoa nywele. Mwanzo huyo dogo sikumhisi kitu, lakini stori na mbwembwe za kike zikanitia kichefuchefu; "ooh!..yaani nilivyo na ny*ge shosti, Shabani amesema atanipitia tuka****!".......aaargh!!
 
hell on them.................!!!!!!!! May they burn in hell for eternity....!!!!
 
Back
Top Bottom