Hawa wameonesha ushirikiano mzuri kwa kuwaunga mkono madaktari nchini, kwani tafsiri ya cellat ni "wauaji au wanyongaji" tena si kifo tu bali mateso makali na ndipo mauaji ya kikatili.
Kingine hebu tusubiri tuone, hili suala linaweza chelewa kutatuliwa hata mwezi mmoja...tukumbuke ile website ya bunge, iliwahi kaa miezi sita bila update yoyote, hadi lilipoibuka suala la bingwa aliyeibwaga serikali jana "Mahalu, Costa. Prof.
Sasa hili litafumbiwa macho na CCM, kana kwamba hakuna kilichotokea.