Website ya Udsm inakataa

kwa wote watakuwa ndo wanaweka selection zao kama saut jana ilikuwa hivyo hivyo leo wameweka selection zao inafunguka
 
Unatakiwa uwape moyo na wenzako mkuu.Hiki ni kipindi kigumu sana kwa applicants wengi na itachukua muda kwa wao kuyakubali na kuyapokea matokeo.

mkuu,utan kidogo sio mbaya,ilimradi humuuzi mtu.pamoja sana
 
inafunguka - hata saa hii ninaiona lakini ndo mali hakuna bali "Petroleum and Gas Confrence 2012"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom