Habari za siku nyingi kidogo wana JF!
Habari za mapambano ya mabadiliko wana CHADEMA wenzangu, nina swali kidogo kuhusu website ya chama chetu, Jamani nani muhusika mkuu wa hii web? mbona inatumia technolojia ya zamani hivyo? Na mbona links nyingi hazifanyi kazi?
This is not fair kwakweli viongozi wa juu angalieni hili, ni source kubwa sana ya habari rasmi za chama na taifa pale ambapo serikali inapindisha baadhi ya habari, hii website inatakiwa iwe source ya taarifa muhimu za chama na watu tunapozihitaji tuzikute huko.
Tukikutana na habari za juu juu kwenye vyombo vingine kwenye web tukute kwa undani! pls naomba majibu kutoka kwa wahusika!
Habari za mapambano ya mabadiliko wana CHADEMA wenzangu, nina swali kidogo kuhusu website ya chama chetu, Jamani nani muhusika mkuu wa hii web? mbona inatumia technolojia ya zamani hivyo? Na mbona links nyingi hazifanyi kazi?
This is not fair kwakweli viongozi wa juu angalieni hili, ni source kubwa sana ya habari rasmi za chama na taifa pale ambapo serikali inapindisha baadhi ya habari, hii website inatakiwa iwe source ya taarifa muhimu za chama na watu tunapozihitaji tuzikute huko.
Tukikutana na habari za juu juu kwenye vyombo vingine kwenye web tukute kwa undani! pls naomba majibu kutoka kwa wahusika!
website inasema ili ujue misimamo,sera na KATIBA zao lazima uwe na password ndio utapata kuingia kuisoma. iN SHORT chadema wameamua kuifunga website yao kwa wananchi
Hiki ndicho chama mbadala ambacho kinategemewa kuchukua nchi in 2 years time
soma hapa:
http://www.chadema.or.tz/
![]()
kazi tunayo maana kila nikijaribu kujua tofauti kazi ya CHADEMA na CCM nashindwa kupata tofauti.