hey people kuna web masters hapa,tunaomba tuwasiliane wazee wangu,naitaji kutengenezewa ka-web
wazee wangu kwanza nieleze hali halisi,kuna jamaa walitengeneza hii web lakini nafikiri wamekwama somehow,ukijaribu kuigoogle haipatikani,kwa hiyo nachotaka ni mtu kuimalizia manake kila kitu kiko pale,je inawezekana kama web yenyewe ipo nje ya nchi????asante wazee wangu
ebu wenye skype nitafuteni kwenye jackson.lema,nipo online full time