salaam zenu wana jf, kwa mara ya kwanza jana niliona adv itv ya kampuni ya voda ya kitu kinaitwa web box ambayo inakuwezesha kuunganishwa na internet kwa kutumia tv ya kawaida kama screen, naomba kama kuna wajuzi wa it kutoka voda au mtu yeyote aliyekwisha itumia anijuze yafuatayo 1.je unaweza kutumia screen ya computer na chombo hicho badala ya tv 2.je speed yake ni nzuri, ni 3g au??? 3.je unaweza kutumia chip ya mitandao mingine??? ahsanteni