Weather Warning: DAR, MOROGORO AND PWANI

Weather Warning: DAR, MOROGORO AND PWANI

Dotworld Hiyo taarifa ni kwa wanaojua kizungu tu? Waitafasri kitaalamu na kwa kiswahili.Hata kama mtu unajua kizungu lakini bado taarifa imeandikwa kitaalamu zaidi wangeiandika kwa lugha nyepesi na kuitafasri kwa kiswahili. Sasa mimi na bi-modal areas wapi wapi!

JAMHURI​
YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA UCHUKUZIMAMLAKA YAHALIYAHEWA TANZANIA
Simu: 255​
22246073512460706
F​
kKSI: 255 22246073512460700
Simu pepe: met@meteo​
.go.tzTovuti: www.meteo.go.tzUnapojibu tafadhali nakili:
S.L.P.3056DAR ES SALAAM​
Taarifa Na. 20121005-01Muda wa Kutolewa Saa 10:00 AlasiriSaa za Afrika MasharikiDaraja Ia Taarifa:l:Taarifa 2:Ushauri 3:Tahadhari Tahadhari4:Tahadhari Kubwa:Kuanzia: Jumatatu 08 Oktoba, 2012 TareheMpaka: Alhamisi 11 Oktoba, 2012 TareheAina ya TukioLinalotarajiwa Mvua Kubwa na upepo mkali(Mvua kubwa )Eneo Ukanda wa Pwani (Dar es Salaam, Morogoro na Pwani)​
, visiwa vyaUnguja na Pemba na mikoa ya Kusini mwa nchi (Lindi na Mtwara).Maelezo: Kuna mgandamizo mdogo wa hewa (low pressure system) katikaeneo la kusini magharibi mwa Bahari ya Hindi sambamba nakuimarika kwa viashiria vya kuanza kwa mvua za Vuli katika ukandawa pwani ya Bahari ya Hindi. Hali hii inatarajiwa kusababishavipindi vya mvua kubwa katika maeneo tajwa.Maelezo ya Ziada: Kuna uwezekano wa viwango vya mvua kati ya mm 50 hadi 100katika vipindi vifupi.
Aidha, hali ya Upepo mkali inatarajiwa zaidi katika maeneo yaBahari ya Hindi.​
~.6\fP​
Dkt. Agnes L. Kijazi​
MKURUGENZI MKUU
 
Nicazius nime-iconvert ili watu waweze kuisoma vizuri
attachment.php

View attachment 67583

hii kitu kamuandikia nani??? pumbafuu kabisa.....lugha gani hii??
 
Huo utabiri nafikiri ni kwa mikoa iliyo kando kando ya Ziwa Victoria ndo naona wingu linaanza kutanda na kipepo kwa mbali
 
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINISTRY OF TRANSPORT
TANZANIA METEOROLOGICAL AGENCY
Telegrams:"METEO"DAR ES SALAAM.··
Telex: 41442 HEW A
Telephone: 255 (0) 22 2460718
Telefax: 255 (0) 22 2460735
E-mail: met@meteo.go.tz
P.O. BOX 3056
DAR ES SALAAM.

Heavy Rainfall and strong wind
Northern Coast ( Oar es Salaam, Morogoro, and Pwani),
isles of Un u'a and Pemba and Southern areas
There is a low pressure system over south-western Indian
Ocean and strong alignment of the climate patterns for the
start of short rainfall season over Bi-modal areas. Growing
confidence for the first significant heavy rainfall event over
mentioned area is expected at the beginning of the next week.
There is likelihood of rainfall reaching between 50mm to
100mm in short time or in 24 hours. Moreover, strong winds
are likel to occur over the Indian Ocean.
.~
Dr. Agnes L. Kijazi
DIRECTOR GENERAL
 
Watanzania tuna tabu sana. Hatuheshimiani wala hatuthaminiani. TMA imetoa tahadhari sisi tunawakejeli. Litokee lolote baya sisi wenyewe ndio tutadhurika.
 
Watanzania tuna tabu sana. Hatuheshimiani wala hatuthaminiani. TMA imetoa tahadhari sisi tunawakejeli. Litokee lolote baya sisi wenyewe ndio tutadhurika.

Hivi jana mvua ilinyesha?
 
Unakuta ni idara kubwa mshahara mkubwa ofisi nzuri magari full viyoyozi. Lakini wanibuka na kukurupuka wanatudanganya mchana kweupe. Milango iko wazi naomba watumie utaratibu uleule kutuomba radhi. Nilisema hawa watu walitumika kisiasa kuhalalisha zoezi la bomoa bomoa ktk maeneo ya mt msinbazi ambalo tuliambiwa limeuzwa kwa Agakhan.
 
Kati ya mvua na jua unapenda nini?
 
Back
Top Bottom