Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
mie nasema hawa viongozi wetu wanahitaji kupimwa akili zao,tusije tukawa tunalalamika kila siku kumbe tunaongozwa na mapunguani.mtu na akili zako timamu huwezi kutoa jibu kama hilo au hajui nchi ni nini? au hajui tanzania ina watu wangapi? yani nchi hiwe na bajeti ya ambulance 50 na bunge ina bajeti ya "mashangingi" 300? hama kweli chizi sio lazima aokote makopo.