The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 37,881
- 117,037
Hivi nyuzi za maana hua zinapimwa na anayepost au na wasomaji?kuna nyuzi nyingi tu za maana nimeandika humu na watu hawaku interact..
BothHivi nyuzi za maana hua zinapimwa na anayepost au na wasomaji?
Nani hua anaamua kua hii ni nyuzi ya maana kati ya anayepost au wasomaji?
Naomba kueleweshwa.
Nyuzi gani hiyo ya maana tuliyoipotezeaMkuu watu wa sipo like jua hawako interested tuu, kuna nyuzi nyingi tu za maana nimeandika humu na watu hawaku interact..
Usiweke self worth yako kwenye mzani wa opinion za watu wengine
Hmm wanilotaga kinehe obebeMwanike nakulotaga ilelo🤣
Nakulotaga wanizughilaga ama bhiling'anya twalya Alafu nakakulya nu bebeHmm wanilotaga kinehe obebe
Nyuzi gani hiyo ya maana tuliyoipotezea
Tumbafu nyand’ebhe! Gashi ulenatuja gheke!Nakulotaga wanizughilaga ama bhiling'anya twalya Alafu nakakulya nu bebe
Sasa ubebe walemaga kuni zugila nite kinehe lulu mwanikeTumbafu nyand’ebhe! Gashi ulenatuja gheke!
Endelea kulotaga duhu!Sasa ubebe walemaga kuni zugila nite kinehe lulu mwanike
Nyaaning'we Sareni😆Endelea kulotaga duhu!
Endeleani nami nansunguze kuguha mnyangu akunelewa ikluga yangu huandika tu hakuna mbuli mwedibungaEndelea kulotaga duhu!
Tho’bhana!Endeleani nami nansunguze kuguha mnyangu akunelewa ikluga yangu huandika tu hakuna mbuli mwedibunga
taraji p henson una mawazo ya kujenga sanaDah, hilo nalo ninaelewa kabisa! Unajisikia vibaya sana, kama vile umeongea halafu hakuna aliyesikia. Ni hisia ya kawaida kabisa.
Lakini usikate tamaa, wakati mwingine si kwamba watu hawajaona au hawajapenda, pengine tu hawana cha kuongeza kwa wakati huo, au wapo busy. Endelea tu kushare mawazo yako, sisi tupo na tunasoma! Tutachangia kadri tunavyoweza. 😊
Sasa hii ndo ya maana?😂Kabla sijaanza, nataka niweke wazi kuwa spiritual awakening si sawa na dini. Dini mara nyingi hutufundisha namna ya kumtafuta Mungu nje yetu, lakini spiritual awakening ni safari ya kujitambua ndani yetu. Si kuhusu kubadilisha dini, kuacha imani fulani au kuwa “mtakatifu”… bali ni kuanza kuhoji reality, ego, suffering na true nature yetu ya ndani.
Wengine hupitia hii kupitia dini, maumivu, upweke, meditation, mapenzi, au hata kuvunjika kabisa kiakili na kihisia. Mwisho wa yote, safari hii humrudisha mtu karibu zaidi na essence yake ya kweli.
Leo nataka tupige stori kuhusu hii dhana ya...
- Elevenn
- mimi spiritual wewe
- Replies: 44
- Forum: Habari na Hoja mchanganyiko
Hakuna shida, rafiki yanguEndeleani nami nansunguze kuguha mnyangu akunelewa ikluga yangu huandika tu hakuna mbuli mwedibunga
Stop bullying me, kwa upeo wa mtanzania wa mbagala hakiwezi kuwa ya maana ila kwa ma genius tunaopenda kuchangamsha akili zetu ina maana kubwa sana, sasa siwezi kumruhusu kiumbe kama wewe aniambie tofauti😏Sasa hii ndo ya maana?😂
Ambao hawakujui ndo wanakupa makavu??Kama unataka ushauri tafuta watu ambao mnafahamiana wakupe ushauri unaoendana na tatizo lako
Na sio mtandaoni ambako watu hwakujui
OkHakuna shida, rafiki yangu