We really miss you , where are you?

We really miss you , where are you?

Cicadulina

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
1,006
Reaction score
2,431
jakaya-kikwete-3.jpg
 
Sijui kwanini naona kama huyu mtu kashashika madaraka muda mrefu, kumbe hata 2 years bado.
 
Na bado mtamkumbuka sana,Ngosha kashika mpini
c3f5b993b32814c181b152974ea8b54e.jpg
hasila za mala kwa mala,
kutokua na furaha ,kupenda visasi,kutotaka kusamehe,kutokua na huruma kwa binadamu wenzio,kupenda kuwakomoa wenzio,kuwa na moyo wa husda.
kunamfanya mtu azeheke haraka.
 
Mpaka mjue kusoma namba za kiebrania mtakuwa mmeshika adabu vya kutosha
 
hasila za mala kwa mala,
kutokua na furaha ,kupenda visasi,kutotaka kusamehe,kutokua na huruma kwa binadamu wenzio,kupenda kuwakomoa wenzio,kuwa na moyo wa husda.
kunamfanya mtu azeheke haraka.

Kwa hiyo mkuu wote tunaoota mvi tumlaumu huyu jamaa? Hahahahaha...

Ila Ngosha.....labda akijenga flyovers watanzania watasahau machungu ya maisha hata akiondoka madarakani. But anatunyoosha aiseee.

The point is the man doesn't care!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom