Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,673
Unajifanya una kaustaarabu flani hivi ,unajua nini mwanaume anahitaji,una Vision ya maisha ,
ila unaonekana ni Mvivu wa kupika hiyo ni kulingana na coment zako nyingi nilizozifatilia,
We mwanamke nimekuja PM kwako mara kadhaa naona Umefunga na kufuri la chuma ,
Ebu fungua basi hilo kufuri lako Zero IQ nataka nije niweke uwekezaji wa kiwanda cha Uchakataji ,
Dhumuni nije nikuletee mikataba mezani ukikubaliana na terms zangu tufanye kazi .
Pliz ukipita hapa usisite kunipa mrejesho kama tayari umefungua hiyo PM ili nijongeee taratibu na mikataba yangu.
CC Zero IQ
ila unaonekana ni Mvivu wa kupika hiyo ni kulingana na coment zako nyingi nilizozifatilia,
We mwanamke nimekuja PM kwako mara kadhaa naona Umefunga na kufuri la chuma ,
Ebu fungua basi hilo kufuri lako Zero IQ nataka nije niweke uwekezaji wa kiwanda cha Uchakataji ,
Dhumuni nije nikuletee mikataba mezani ukikubaliana na terms zangu tufanye kazi .
Pliz ukipita hapa usisite kunipa mrejesho kama tayari umefungua hiyo PM ili nijongeee taratibu na mikataba yangu.
CC Zero IQ