We moyo sasa mbona unanitorture?

We moyo sasa mbona unanitorture?

kuntubaby

Senior Member
Joined
Dec 29, 2016
Posts
187
Reaction score
202
Asalam Wakuu.
Nipo kitandani tangu saa10 jioni, kichwa kinagonga sana ninavyojisikia sielewi namna ya kueleza lkn namuomba Mungu nipite hii njia salama. Nmevunjika moyo vipande vipande.
Najihisi sina bahati ya kupendwa nimeshakata tamaa.

Hongera zako HamidašŸ™ŒšŸ½
 
Asalam Wakuu.
Nipo kitandani tangu saa10 jioni, kichwa kinagonga sana ninavyojisikia sielewi namna ya kueleza lkn namuomba Mungu nipite hii njia salama. Nmevunjika moyo vipande vipande.
Najihisi sina bahati ya kupendwa nimeshakata tamaa.

Hongera zako Hamida[emoji119]šŸ½
Moyo wa Juma Jux au Diasporausa?
 
Asalam Wakuu.
Nipo kitandani tangu saa10 jioni, kichwa kinagonga sana ninavyojisikia sielewi namna ya kueleza lkn namuomba Mungu nipite hii njia salama. Nmevunjika moyo vipande vipande.
Najihisi sina bahati ya kupendwa nimeshakata tamaa.

Hongera zako HamidašŸ™ŒšŸ½
kuna kidem nimekigegeda jana kinaitwa hamida kina zile papuch mnato ndo hicho mkuu? nacho kuna fala kimemtenda ,,,we uko wap boss?
 
Asalam Wakuu.
Nipo kitandani tangu saa10 jioni, kichwa kinagonga sana ninavyojisikia sielewi namna ya kueleza lkn namuomba Mungu nipite hii njia salama. Nmevunjika moyo vipande vipande.
Najihisi sina bahati ya kupendwa nimeshakata tamaa.

Hongera zako HamidašŸ™ŒšŸ½
Naona unaunga mkono juhudi za Hamida.

Ifike mahali hata mtu akifa katika mazingira kama haya ya Hamida style tuseme, "Mungu ailaze roho yake mahala stahiki" badala ya "mahala pema peponi" maana yawezekana chanzo cha kifo kikawa ni yale "mahaba niue"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom