We listen but we dont Judge!!!

We listen but we dont Judge!!!

Status
Not open for further replies.
Watu wanadinyana na kupigana pic za utamu šŸ˜† mkuu dada anataka kuzi Upload
Ndege wafananao huruka pamoja,
Mpaka inafikia stage ya kutumiwa picha za kudinyana,ina maana hata wewe unayetumiwa huna tofauti na huyo anayekutumia.

Kila siku nawaambia vijana hapa,
Don't trust anyone,trust gets you killed.
 
Miaka inayokuja sitashamgaa kuona ndoa za jinsia Moja Tanzania ..usagaji na USHOGA ukitamalaki kwa Kasi. Wanasema ni free world au sio...Mungu alisema mboo ndio itaingia kumani, na sio vinembe kusuguana. Am out.
 
Miaka inayokuja sitashamgaa kuona ndoa za jinsia Moja Tanzania ..usagaji na USHOGA ukitamalaki kwa Kasi. Wanasema ni free world au sio...Mungu alisema mboo ndio itaingia kumani, na sio vinembe kusuguana. Am out.
Na sio Tanzania tu, sasahivi hii hali ni everywhere.
Huenda binadamu hatujui inasababishwa na nini haswa ndio maana tumeshindwa kuidhibiti
 
Acha mikwala mbuzi masai,
Sisi tunajadili mada uliyoiweka wewe mwenyewe hapa mezani,
Kama ulikua hujiamini,kwanini umefungua huu uzi?

Kitendo cha kumuanika mtu uliye wasiliana nae huko PM kinathibitisha kua you are too weak,lacks sufficient physical strength,emotional fortitude or mental resolve to handle a situation,you cant be trusted,pia kua na hizo ID's 10 ni dalili ya kutokujikubali pia,be proud of youself,jikubali acha kufake life.
naungana na pendaeli kwamba huyu dada kuna hali anapitia kwaiyo anapaswa kusaidiwa, kutokana na mfululizo wa mada zake huenda ana changamoto kwenye mahusiano yake yanayompa changamoto za ki saikolojia, aliwai kusema anapenda vijana wadogo, aliwai kusema kwenye ndoa watu wanaficha upande wao m baya ili wadumu... kwaiyo kuna changamoto ya kisaikolojia inayosababishwa na mahusiano yake

all in all masai dada ni mtu wa maana sana humu jukwaani
 
Siwezi wewe šŸ† tamu hivi😁

Kuwatamani sio kuwasugua😈
Shika tivii yako ,tamka maneno haya kwa kunifuatisha , amen!
20260424_093946.jpg
 
Na sio Tanzania tu, sasahivi hii hali ni everywhere.
Huenda binadamu hatujui inasababishwa na nini haswa ndio maana tumeshindwa kuidhibiti
Hii hali kuna watu wanaicontrol na kuisambaza kwa makusudi kabisa,
Moja ya lengo kuu ni ku Depopulation.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom