We have to kill tutsi whenever they are

We have to kill tutsi whenever they are

murutongore,

Kagame, Kabarebe, Mushikiwabo, nao wanataka kuua wahutu popote walipo.

At some point nyinyi wananchi wa kawaida wa Rwanda msema imetosha.

Vita vya kikabila huwa havina mshindi. mmepigana mkachukua madaraka huko Rwanda, lakini ndugu zenu mamilioni wamekufa kwenye genocide.

Mlisuluhishwa lakini hamkusikia. hata sasa hivi haionekani kama mmejifunza.
cc jMali, MUKAMASIMBA, MK254, Talkandtalk

Hivi kweli unajua unachosema? Kama kagame anataka kuwauwa wahutu he has over eight million in the country!!!
 
japo inawezekana lkn mfano wako hauendani na tunachokijadili
Hauendani kivipi? unabisha fdlr sio terrorist group au? hebu soma hapo chini.
According to the U.S. National Counterterrorism Center, the FDLRis believed to be responsible for about a dozen terrorist attacks committed in 2009.[3]These actsof terrorism have killed hundreds of civilians in Eastern Congo.
 
Can you tell who are Tanzanian military leaders? We do not have them here, our leaders are political. If you are trying to say Top military officials, you should remember that we have civilian leadership which is in charge of our military, and it takes an order from civilian administration to engage in any military consultation. BIG FLAW in that part of your presentation. Shughuli yetu yoyote ya kidiplomasia inaamuliwa na uongozi wa nchi, sio wa jeshi. Ndugu zetu wa Rwanda mnatakiwa kukumbuka kuwa uongozi wa Tanzania haukutokana na movement au Front kama ilivyokuwa Rwanda PF, ila unatokana na vyama vya siasa, na sasa chama tawala ni CCM na wakuu wa jeshi tangu mwaka 1961 wamebalishwa mara kadhaa na wanaendelea kubadilika.

Kwa Rwanda rais, mkuu wa majeshi, waziri wa ulinzi na wengine kwenye idara za usalama ni RPF. Tanzania ni tofauti sana...ukiangalia CDF wetu wa sasa unaweza kugundua kuwa ni jamaa aliyekulia na kusoma Zambia, sidhani kama ana beef yoyote na wanyarwanda, au ana uhusiano wowote na Interhamwe.

TISS and MI in Tanzania work in a very close relationship, there is nio such thing as one knowing one and the other not knowing. Licha ya dosari zote zilizopo hatujafikia ujinga huo TZ.

TISS haina uwezo wa kufanya biashara at expense of our national security, sidhani kama kuna mjinga yoyote TISS aombe rushwa ya namna hiyo kwa jambo kama hilo bila kujulikana na kuchukuliwa hatua. Hata awe kuruta wa TISS hawezi kufanya hilo.

Again TISS haiwezi kutoa mwaliko kwa mtu bila uamuzi wa utawala wa kiraia.

FDLR liaison office in Kigoma? jamani kweli kuna mtanzania yoyote anayeweza kuamini kuwa magaidi wana ofisi kwenye ardhi yetu kwa miaka bila hata kugunduliwa?

Hahaha huwezi amini mkuu mpk sa hivi cjaelewa kama ulikuwa unataka more clarification au ulikuwa unataka nini mkuu wangu?maana naona unatengeneza arguments na kujijibu mwenyewe
 
Hivi kweli unajua unachosema? Kama kagame anataka kuwauwa wahutu he has over eight million in the country!!!

Mkuu huyo joka kuu damu za mwaka 1994 zinamtesa anadhani na kagame ana plan za kuua kama wao!
 
Hahaha huwezi amini mkuu mpk sa hivi cjaelewa kama ulikuwa unataka more clarification au ulikuwa unataka nini mkuu wangu?maana naona unatengeneza arguments na kujijibu mwenyewe

Mkuu hakuna argument niliyotengeneza, hayo ni mambo yaliyopo kwenye artcile, kama umeona vzr nilichofanya ni kujaribu kuangalia baadhi ya vipengele vinavyoonesha kuwa ni fix fix, si kweli kama FDLR wanaweza kufungua ofisi Tanzania na isijulikane.
 
Mkuu hakuna argument niliyotengeneza, hayo ni mambo yaliyopo kwenye artcile, kama umeona vzr nilichofanya ni kujaribu kuangalia baadhi ya vipengele vinavyoonesha kuwa ni fix fix, si kweli kama FDLR wanaweza kufungua ofisi Tanzania na isijulikane.

hahah haya mkuu endelea kubishana na sources wakati sijajua wewe una credibility gani ya ku question hio source zaidi ya wewe the kuandika facts zako kwa kufuata hisia zinavokwambia.labda kama unataka niendelee kukuletea links mbalimbali lkn so far wewe unaandika kwa hisia and not facts!
 
Hutu/tutsi/twa respect each other.you all are Rwandase. killing each other hating each other will not help you.
im telling this because im tired to hear your stories.
 
Hutu/tutsi/twa respect each other.you all are Rwandase. killing each other hating each other will not help you.
im telling this because im tired to hear your stories.

cc:jMali
 
Back
Top Bottom