Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,226
Murutongore thanks for sharing this with the forums,
The article is sickening, lakini ningependa tuangalie kwa mapana. As old as it is, it sheds some light on what is in Rwandese peoples minds. Na hii inanirudisha kule alikosema Rais wetu kuwa ni lazima pande mbili zikae (RPF na Interhamwe). Pamoja na kuwa sasa hivi majina yamebadilika mmoja anaitwa RDF au serikali na mwingine anajiita FDLR, according to the article all i see is RPF and Interhamwe.
Sad to see that interhamwe wameweza kupandikiza chuki hata kwa watoto waliozaliwa huko huko DRC, it is very worrying thing, i can say, if unchecked it existential threat (checking here does not mean kill them). Sijui hali ikoje kwa sasa, maana ni zaidi ya miaka 7 sasa.
Lakini nashangaa kitu kimoja kuhusu hii article uliyoiweka hapa. kama ingekuwa na mwelekeo tofauti baadhi ya watu hapa JF wangesema they do not have facts, they are not informed. Wangeipinga na kuikosoa sana.
Kuna kitu kingine kinashangaza, hasa tunaposoma kuwa Tanzania ilimkamata mmoja wa watuhumiwa wa genocide, lakini baadhi ya maofisa wa serikali ya Rwanda walitoa matusi makali sana na kumuita rais wetu na mkewe interahamwe. Does this mean Tanzanian government plays double standard? inakamata machinjachinja na kuwasaidia?
The article is sickening, lakini ningependa tuangalie kwa mapana. As old as it is, it sheds some light on what is in Rwandese peoples minds. Na hii inanirudisha kule alikosema Rais wetu kuwa ni lazima pande mbili zikae (RPF na Interhamwe). Pamoja na kuwa sasa hivi majina yamebadilika mmoja anaitwa RDF au serikali na mwingine anajiita FDLR, according to the article all i see is RPF and Interhamwe.
Sad to see that interhamwe wameweza kupandikiza chuki hata kwa watoto waliozaliwa huko huko DRC, it is very worrying thing, i can say, if unchecked it existential threat (checking here does not mean kill them). Sijui hali ikoje kwa sasa, maana ni zaidi ya miaka 7 sasa.
Lakini nashangaa kitu kimoja kuhusu hii article uliyoiweka hapa. kama ingekuwa na mwelekeo tofauti baadhi ya watu hapa JF wangesema they do not have facts, they are not informed. Wangeipinga na kuikosoa sana.
Kuna kitu kingine kinashangaza, hasa tunaposoma kuwa Tanzania ilimkamata mmoja wa watuhumiwa wa genocide, lakini baadhi ya maofisa wa serikali ya Rwanda walitoa matusi makali sana na kumuita rais wetu na mkewe interahamwe. Does this mean Tanzanian government plays double standard? inakamata machinjachinja na kuwasaidia?