King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,779
vuvuzela nahisi kama na ww pia umekosa ubunifu. tatizo hapa ni sebuleni,bt anyway, tempt her banaa! build up the temptation,let her hang in there.haiwezekani asiwe hata na hamu ya kukukaba. hebu ongea nae,tafuta na ww ujuzi wa ziada wa jinsi ya kumzimisha.isije ikawa una zile za hakuna ma-care ww ni kuvamia tu.mfanye awe na hamu ya kuwa na ww kwanza.unaweza pata compatible afu akawa anaona hata kutoa lifti kwa majirani ni sawa.hayo ya chumbani mnaweza kuelekezana banaa