We are among the Economic potentials!!

Misosi

Member
Sep 17, 2010
85
4
My Take: Tukifanikiwa kuwa na sera nzuri na uzalendo na nchi yetu, tukawa na uchungu na resources zetu na kuondoa hawa watu wanaokula 10% katika mikataba na kupelekea kutoa Tax holidays za miaka mingi hakika Africa heshima yetu itarudi. Mungu Ibariki Africa, Wafungue viongozi wetu katika kifungo cha U-MIMI, UNAFIKI na KUKOSA UZALENDO.

Source: http://www.koreaherald.com/business/Detail.jsp?newsMLId=20111103000609
 

Attachments

  • AFRICA.jpg
    AFRICA.jpg
    29.5 KB · Views: 27
Back
Top Bottom