WCF nimewavulia kofia

WCF nimewavulia kofia

Hali imekaza mmepanic! Hakuna cha TAKUKURU wala nini Mchakato wa ajira uliendeshwa kwa Uwazi Na Vijana waliopata ajira walitaarifiwa na kuanza kazi Mara Moja.
ha ha kumbe watu wapo mzigoni
 
Hali imekaza mmepanic! Hakuna cha TAKUKURU wala nini Mchakato wa ajira uliendeshwa kwa Uwazi Na Vijana waliopata ajira walitaarifiwa na kuanza kazi Mara Moja.

Mnawekana watoto wa Lumumba.
 
Hali imekaza mmepanic! Hakuna cha TAKUKURU wala nini Mchakato wa ajira uliendeshwa kwa Uwazi Na Vijana waliopata ajira walitaarifiwa na kuanza kazi Mara Moja.
Kwani walishatoa matokeo? Mbona kuna vijana wangu walifanya mtihani huo wa IFM na still wanasubiri matokeo?
 
Hahahaha....
Mtoa Mada mbona povu ivo???
Kama huna vigezo tulia usianze kutoa Povu humu jukwaani
 
Hali imekaza mmepanic! Hakuna cha TAKUKURU wala nini Mchakato wa ajira uliendeshwa kwa Uwazi Na Vijana waliopata ajira walitaarifiwa na kuanza kazi Mara Moja.
Mmewekana watoto wa chama cha kijani tupu
 
Naona Mapovu tu humu ya wasaka Ajira!!
Sasa mtoa mada na wenzako wote wanaoku-support, una uhakika gani kama watu hawajaitwa?
kimsingi i have a friend of mine tulisoma nae Nairobi Ameshaitwa, na ameshapata barua ya probation tayari; Kwa hiyo nadhani ni vyema kuendelea kupambana na kutafuta ajira mahali pengine kuliko kukomaa kulalamika humu jukwaani. Otherwise nenda ofisin kwao pale uliza kwa uhakika zaidi, acha kuuliza kutoka kwenye vijiwe vya kahawa.
 
Kwani hivi mnavolalamika ni mliambiwa wote mtakaofanya usaili ndio mtapata kazi?haina haja kulalamika coz haisaidii watachukuliwa wachache tu katika hao waliofanya usaili.
 
Hahahaha....
Mtoa Mada mbona povu ivo???
Kama huna vigezo tulia usianze kutoa Povu humu jukwaani
Hivi kuuliza ndio kutoa povu?!!! Unawezaje kualikwa kufanya usahili kama hauna vigezo?!!! Mpumbavu hujulikana ata kwa maandishi tu
 
Watu wanajiamini sana utadhani watapata kazi moja kwa moja ndio maana kutwa kuulizia nafasi hizo.

Kinachowapa watu kichwa kuwa wataitwa labda ni GPA kali walizonazo, uwezo wa kukokotoa hesabu za written.

Huku ni mtaani GPA iwe added advantage, huku inategemea MIPANGO YA MUNGU.

Pia connection za watu, watoto wa masikini tunajaza kusoma bado tunaumia kupata ajira
 
Watu washaanza kazi.
Ujue ajira hakuna kabisa . Mawaziri wan watoto wao. Makatibu, makada wa ccm , magufuli ndugu zake.
Humphrey pole pole ana ndugu zake. makonda ana shemeji zake.
Wote hao mpaka wapate ajira kwanza.
Wengine tutaishia tu kufanyishwa interview.
(Joking)
Joking but this i take as a complete truth...
 
wanafanya vibaya sana daaah watu wametoka mbali basi wangetoa hata matokeo ili watu wajue walipataje kweli hawajafanya vzr
 
Naona Mapovu tu humu ya wasaka Ajira!!
Sasa mtoa mada na wenzako wote wanaoku-support, una uhakika gani kama watu hawajaitwa?
kimsingi i have a friend of mine tulisoma nae Nairobi Ameshaitwa, na ameshapata barua ya probation tayari; Kwa hiyo nadhani ni vyema kuendelea kupambana na kutafuta ajira mahali pengine kuliko kukomaa kulalamika humu jukwaani. Otherwise nenda ofisin kwao pale uliza kwa uhakika zaidi, acha kuuliza kutoka kwenye vijiwe vya kahawa.
Ni Yale Yale hahah ngozi nyeus bhana kwani ukisema ''nna rafiki yangu nilisoma nae'' husinge eleweka?!!! Alaf ata kiswahili chenyewe hujui unakimbilia kizungu hahah (hapo subject ni wewe na yeye ni reference, alaf unasema tulisoma nae?!!! Huelewi wingi ni upi na umoja ni upi!!! Mpka sentensi yenyewe inajikataa!! Tukirudi ktk mada mchakato wa ajira hususani za umma sharti kuwe na uwazi ule mithani ulifanywa kwa watainiwa kupewa namba maana yake baada ya siku kadhaa majibu yatatoka huo ndio uwazi na kimantiki utaratibu upo hivyo, na kila mmoja alitegemea itakuwa hivyo. Sasa wewe unakurupuka kama ulilazimishwa kuchangia! Au haya maulizo yanakukera! Watu wengine bhana shiiida kwel kwel
 
inabidi afisa hatari wa WCF ajitokeze atoe ufafanunuzi la sivyo manung'uniko ya wadau hajatawaacha salama
 
Back
Top Bottom