Big Deal
Senior Member
- Nov 13, 2016
- 174
- 79
Alitakiwa Apache tu darasa amalize kwanza ataumbuka maana huyu darasa mhhhhhh hadi kero *****Muziki unakuja kuzimwa.
Alitakiwa Apache tu darasa amalize kwanza ataumbuka maana huyu darasa mhhhhhh hadi kero *****Muziki unakuja kuzimwa.
Kwa kweli...Wameachiaa hii ngomaa kipindi kibaya wangeacha hata ya darasa ipi kwanzaa maana imekuwa homa ya taifaa
we umeshaisikia tayari mkuu
bado kwan imetoka tayarwe umeshaisikia tayari mkuu
Ishakuwa kokoro MkuuKokoro vp
huwa nina wasi wasi na uwezo wa queen darleen, ikiwa nzuri basi fureshiiiii maana naona nyota yake inachechemea kweliKijuso-Queen Doreen ft Ray van.
Hakika vijana hawani hatari na ni chaguo la watanzania...
Mpuyango mwingine huu hakuna kitu kabisa wimbo mbaya!