Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 5,185
- 19,400
- Thread starter
- #21
Na vitoto hapa mtaani kwetu nmepita sasa hivi vinaimba bila wasiwasi, tena vinafanya kwa vitendo kwa kuinamishana, bahat mbaya vyote ni vya kiumeKuna sehem anaimba"inama niweke muhogo" kwakwel hawa jamaa wanaharibu sana watoto wa shule.
Sent using Jamii Forums mobile app







