Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 5,477
- 20,625
- Thread starter
- #21
Na vitoto hapa mtaani kwetu nmepita sasa hivi vinaimba bila wasiwasi, tena vinafanya kwa vitendo kwa kuinamishana, bahat mbaya vyote ni vya kiume[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]Kuna sehem anaimba"inama niweke muhogo" kwakwel hawa jamaa wanaharibu sana watoto wa shule.
Sent using Jamii Forums mobile app