Wazoefu wa relationships naombeni ushauri

Wazoefu wa relationships naombeni ushauri

clinician

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2014
Posts
2,305
Reaction score
5,438
Niliandika hii post miezi kadhaa iliyopita lakini dhamira yangu ilinisuta kuituma, jana usiku nililala na stress kuhusu mambo haya haya, asubuhi nimeona post ya yule mdada virgin imenifariji kutuma ya kwangu.

Naomba nilete kwenu hili, ni baadhi ya changamoto kwenye maisha yangu, nataka kuwa mtu mpya and start living up to my expections, lakini kufanya hivyo I have to kill the old wrong habbits. Hii ni kuhusu mahusiano nikipata msaada mzuri nitaleta na lingine.

Mimi ni mvulana nina umri wa miaka 24 (soon 25) nimehitimu chuo kozi ya afya ngazi ya diploma last year (Clinical officer fresh from school), currently nasubiri ajira za serikali. Among many problems that I have ni suala la mahusiano, mpaka sasa sijawahi kuwa na SERIOUS girlfriend, sijawahi ku-kiss wala kusex. I tried to love several times in the past lakini sikuwa successful kuanzisha mahusiano. Kuna ambao niliwapenda sikuwaambia na kuna ambao niliwapenda lakini hawakukubali.

Mbali nilipofika kwenye mahusiano ni siku za karibuni hapa, kulikuwa na huyu binti mzuri sana wa sura na umbo, exactly my type, tunajuana since utotoni she admired me coz she knows I have good soul, nilikuwa nampenda for many years lakini sikumwabia sababu kubwa ambazo ilinifanya niwe kimya ni hii;

Niliamini kwamba I was not good looking coz I have been suffering from pimple all my life, bila pimple sio mbaya kivile and honestly very very good lookini dude but am never without pimples, huwa sipendi hii hali na nikiwa hivi nakuwa sijiamini kabisa hata ku appear mbele za watu huwa sipendi.

Karibuni hapa nikamwambia huyo binti ukweli and she agreed very easly lakini sadly nikashindwa kumkeep kwa sababu ya isues zifuatazo;

First I still have pimple so sikuwa free kuonana nae mara kwa mara especially Mchana, sikupenda kabisa kuonana na maarfiki zake coz nilikuwa sijisikii vizuri wao kuniona katika hali ile.

Kingine ni hivi I always admire kuoa a girl who is virgin, beginner kama mimi na huyu hakuwa hivyo, kazi ninayofanya inani-expose na watu wengi sana na nimiekuwa nikikutana na a lot of girls ambao ni virgin alafu moyo ukawa unauma coz mine is not. Mwisho wa siku binti akaona nina complication so akaamua kusepa zake, tulikuwa good friends for many years lakini nimejaribu kuwa in love nae kwa miezi michache na tukashindwa. Hatukufanya ngono wala romance yeyote.

Currently nipo tu, am not dating lakini kuna so many girls around me lakini najiona sipo tayari, well mimi ni Clinician nilijishikiza mahali kufanya kazi na jinsi nilivyokuwa najiona mbaya na pimple lakini avery week ilikuwa sikosi wagonjwa wawili watatu wa kuonyesha interest kwangu, but so far sijaona aliyenivutia na mimi bado sijiamini najiona sifai for anyone.

Miaka inaenda natamani kuseto kimaisha with a lovely woman lakini kila siku changamoto, kwa mfano sasa nina new desire nataka nijiunge na Jeshi niko very committed na hilo na almost nakaribia kufanikiwa but nitatumia miaka 2 mpaka 3 kwa ajili ya kozi kabla ya kurudi uraiani na ajira hapo nitakuwa nina miaka 28 hivi, miaka 28 bila dira ya mahusiano, bila kusex.

Am a good man but very weak, a good friend and chrstian (sio mlokole, naenda hata club sometimes), naamini katika sex after marriage vinginevyo ningekuwa nimeshafanya zamani sana.
 
Duh, tatizo kubwa ni kwamba hujiamini. Kuwa na chunusi hakuhusiani moja kwa moja na kupendwa na mtu. Ushasema umemtongoza, kakukubalia, then ni type yako. Hapo hapo unasema haupo tayari. Hapohapo unataka bikira.

One thing, Hawa viumbe wakipenda huwa hawajiulizagi mara mbili.
 
Duh, tatizo kubwa ni kwamba hujiamini. Kuwa na chunusi hakuhusiani moja kwa moja na kupendwa na mtu. Ushasema umemtongoza, kakukubalia, then ni type yako. Hapo hapo unasema haupo tayari. Hapohapo unataka bikira.

One thing, Hawa viumbe wakipenda huwa hawajiulizagi mara mbili.
yes mkuu,i think its true sijiamini.
 
Niliandika hii post miezi kadhaa iliyopita lakini dhamira yangu ilinisuta kuituma,jana usiku nililala na stress kuhusu mambo haya haya,asubuhi nimeona post ya Yule mdada virgin imenifariji kutuma ya kwangu.

Naomba nilete kwenu hili,ni baadhi ya changamoto kwenye maisha yangu,nataka kuwa mtu mpya and start living up to my expections,lakini kufanya hivyo I have to kill the old wrong habbits.Hii ni kuhusu mahusiano nikipata msaada mzuri nitaleta na lingine.

Mimi ni mvulana nina umri wa miaka 24(soon 25) nimehitimu chuo kozi ya afya ngazi ya diploma last year( clinical officer fresh from school),currently nasubiri ajira za serikali.Among many problems that I have ni suala la mahusiano,mpaka sasa sijawahi kuwa na SERIOUS girlfriend,sijawahi ku-kiss wala kusex.I tried to love several times in the past lakini sikuwa successful kuanzisha mahusiano.Kuna ambao niliwapenda sikuwaambia na kuna ambao niliwapenda lakini hawakukubali.

Mbal nilipofika kwenye mahusiano n isiku za karibuni hapa,kulikuwa na huyu binti mzuri sana wa sura na umbo,exactly my type,tunajuana since utotoni…she admired me coz she knows I have good soul,nilikuwa nampenda for many years lakini sikumwabia….sababu kubwa ambazo ilinifanya niwe kimya ni hii

Niliamini kwamba I was not good looking coz I have been suffering from pimple all my life,bila pimple sio mbaya kivile and honestly very very good lookin dude but am never without pimples,huwa sipenndi hii hali na nikiwa hivi nakuwa sijiamini kabisa hata ku appear mbele za watu huwa sipendi

karibuni hapa nikamwambia huyo binti ukweli and she agreed very easly…lakini sadly nikashindwa kumkeep kwa sababu ya isues zifuatazo

First I still have pimple so sikuwa free kuonana nae mara kwa mara especially Mchana,sikupenda kabisa kuonana na maarfiki zake coz nilikuwa sijisikii vizuri wao kuniona katika hali ile.

Kingine ni hivi I always admire kuoa a girl who is virgin,beginner kama mimi na huyu hakuwa hivyo,kazi ninayofanya inani-expose na watu wengi sana na nimiekuwa nikikutana na a lot of girls ambao ni virgin alafu moyo ukawa unauma coz mine is not.Mwisho wa siku binti akaona nina complication so akaamua kusepa zake,tulikuwa good friends for many years lakini nimejaribu kuwa in love nae kwa miezi michache na tukashindwa.Hatukufanya ngono wala romance yeyote.

Currently nipo tu ,am not dating…lakini kuna so many girls around me lakini najiona sipo tayari,well mimi ni clinician nilijishikiza mahali kufanya kazi na jinsi nilivyokuwa najiona mbaya na pimple lakini avery week ilikuwa sikosi wagonjwa wawili watatu wa kuonyesha interest kwangu,but so far sijaona aliyenivutia na mimi bado sijiamini najiona sifai for anyone

Miaka inaenda natamani kuseto kimaisha with a lovely woman lakini kila siku changamoto…kwa mfano sasa nina new desire nataka nijiunge na jeshi niko very committed na hilo na almost nakaribia kufanikiwa but nitatumia miaka 2 mpaka 3 kwa ajili ya kozi kabla ya kurudi uraiani na ajira hapo nitakuwa nina miaka 28 hivi….miaka 28 bila dira ya mahusiano,bila kusex.

Am a good man but very weak,a good friend and chrstian(sio mlokole,naenda hata club sometimes),naamini katika sex after marriage vinginevyo ningekuwa nimeshafanya zamani sana.
Pole xn bro
Hawa wanawake n kuwagegeda mapema
Ukisubir embe liive basi wenzio tunakula na chumvi
 
Kikubwa ndugu yangu jiamini na ujikubali jinsi ulivyo....pili tafuta tiba ya kupunguza chunusi hizo kama si kuzimaliza kabisa.
 
Raha ya kuoa virgin ni pale atakapotaka kuonja ladha ya size mbalimbali wakati ushamuweka ndani.

Zingatia pia:
Kuoa mwanamke mzuri ni sawa na kumiliki shamba la miwa jirani na shule ya msingi.
 
Jiamini kingine anza kugegeda inaonekana we hb sana sema ndo haujiamin wagegede tu utakuja kumpata wife material badae
 
Sikujua kua watu kama hawa bado wana-exist.Ni mshangao mkubwa kwangu
 
Huitaji wataalam wa mahusiano, bali wataalam wa masuala ya afya. Tafuta mtaalamu wa kukusaidia kuondoa au kupunguza hizo pimples, au mtaalamu(mwanasaikolojia) akusaidie jinsi ya kuishi na "udhaifu" wako.

Kuhusu hao "virgin" mamas unaokutana nao mara kwa mara, hebu anzisha group whats app wakiwemo halafu uni-add ili ndege wa aina moja tujuane.
 
You are confused, seek psychiatric help. You being in the health practice, I know you understand what I mean. Your problems need careful examination before any attempt on resolving them.
 
Mdogo wangu tatizo hujikubali hutafanikiwa kimapenzi hata kimaisha kwa ujumla usipo jirekebisha hakuna binadamu aliyetimia!!!!
 
Ninachokushauri we endelea na imani yako hiyo mpaka ufunge ndoa
Lakini hapo hapo najiuliza utafunga ndoa na nani kama hujishuhulishi na wasichana kimapenzi
Wasichana wa siku hizi wanapenda sana hii kitu ukimzubaisha anakuona hamna kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom